Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa inaonyesha jinsi gani ana uwezo mdogo wa kuchanganua mambo.Kwani posho ni nin mkuu? Me nazani chadema walijua kabisa kujiisolet watakosa posho na wamekubaliana na hilo...nachojua unalipwa posho baada ya kusaini mahudhilio pindi uingiapo bungeni sio otherwise....Jiwe anatafuta kiki tu za.kishamba kwenye hilii.
Msimamizi wa kodi na mapato ya nchi ni bungeSpika Bosi wake ni Mkuu wa CCM, ambaye ni Raisi wa JMTZ, na fedha yote ya Serikali ya JMTZ msimamizi wake ni Raisi wa JMTZ, Bunge linapewa fedha za walipa kodi wa JMTZ na msimamizi wa Kodi zetu ni Raisi wa JMTZ, ...
Bunge ni mali ya nani pia wanapaswa kujuaYes, he is an Overall in charge, sawa hao wameamua kujiokoa wao. Ukifa huko kaburini hakuna pesa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani leo sina mbavu kwa kucheka.Comrade leo mmeshapima korona mafenesi mangapi?
Ni sawa kabisa, uko sahihi.Kwani posho ni nin mkuu? Me nazani chadema walijua kabisa kujiisolet watakosa posho na wamekubaliana na hilo...nachojua unalipwa posho baada ya kusaini mahudhilio pindi uingiapo bungeni sio otherwise....Jiwe anatafuta kiki tu za.kishamba kwenye hilii.
Spika yupi mkuu? Ndugai!!!Ingependeza kama speaker wa bunge amjibu rais kama alivyofanya speaker wa Uganda juzi kwa rais Museven ili kuonesha nguvu ya bunge kama mhimili unaojitegemea na wenye maamuzi yake so rais auheshimu.
Msimamizi wa kodi na mapato ya nchi ni bunge
Mkaguzi na mdhibiti ni CAG
Mkusanyaji na mtunzaji ni serikali
Serikali pia ni mtekelezaji wa bajeti
Ungejiuliza pia haya maswali
Je wabunge wanalipwa na nani mishahara na hizo posho?
Pia bunge linakusanya kodi?
Je maswali namba moja na mbili yakiunganishwa kwa pamoja unahisi kwa akili ya kawaida boss wao ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂Anazidi kudhihirisha hilo,na 'supika' atajibu naenda kutekeleza hilo mara 1 mkuu.
Bunge ni dhaifu kweli maana souce ya mapato ya mishahara na posho inamtegemea Magufuli akusanye kodiMagufuli amejiabisha mno leo, ameuonesha Ulimwengu namna ambavyo Bunge letu lilivyo dhaifu.
Hivi ndugu unaimbia 'praise quoir' ipi vile? ya Chamwino, Chato au zote?Usiwe negative kwenye kila kitu, kati ya mengi aliyoongea umeona hilo ndo jema, usiwe negative kwa kila kitu, kwa hotuba yake ile amejikita kutoa faraja na matumaini kwa Watanzania, na kisaikolojia ina maana kubwa sana.
Ukichukulia kila kitu kwa jicho la Negative hutaendeleza Taifa lako na wala familia yako. Badilika
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi kuna watu walitarajia uchaguzi huru na wa haki oktoba? Kwa dalili zipi labdaWakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".
Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?
My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Wee jamaa huwa fara sana!Tuliwaasa Chadema
Wakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".
Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?
My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
tuna mhimili mmoja tuu tanzaniaWakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".
Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?
My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.