Wakuu zangu,
Nitarudia kusema kwamba tujenge nchi kwa kukosoa mambo anayoyafanya rais kwakumwelekeza yapaswayokwanikulinganisha matumizi ya vitumbalimbali pia inaonyesha ifinyu wa kufikiria kwetu.
Kwa mfano mkazi wa Marekani anaweza kuwa akilipa kodi ya pango dollar 800 hadi Elfu moja na kawa hana fedha za kulipa masomo yake ambayo ni chini kabisa ya kiwango anacholipia pango la crib yake..Matumizi ya Usafiri yakawa juu ya chakula au mavazi yake, hii haina maana mtu huyo ni mchovu wa kufiki..
Umaskini ama Utajiri wa mtu,nchi haipimwi kwa vigezo hivyo hata kidogo.
Wanafikiri sisi sote ni wajinga....!
"Makubwa wala sii kidogo. Unajua nimefika hapa Bongo ndio nimepata darsa haswa la nchi inakwenda wapi. Umaskini wetu sii wa mali ila ni hadi akili zetu hivyo ni tegemeo langu nyie wasomi ambao mna mwamko zaidi muijenge fikra mpya badala ya kuburuza buruza hoja.Heh! Makubwa
Makubwa wala sii kidogo...
Unajua nimefika hapa Bongo ndio nimepata darsa haswa la nchi inakwenda wapi.. Umaskini wetu sii wa mali ila ni hadi akili zetu hivyo ni tegemeo langu nyie wasomi ambao mna mwamko zaidi muijenge fikra mpya badala ya kuburuza buruza hoja..
Tanzania ni nchi maskini, kama mmasai mwenye ng'ombe elfu tatu akivaa lugeba na viatu vya matairi... Sasa unapotaka kumkosoa Mmasai usianze na habari za mmasai kuwa na simu ya mkono ama kapanda ndege wakati huku kwao hana kitu...hamtaelewana hata kidogo. Mpe darsa linalohusiana na tamaduni yake kisha ukairekebisha kiustaarabu pale inapopwaya..
Kikwete ana makosa mengi sana ya kiuongozi ambayo nina hakika tukianza kuyataja hapa tutajaza kurasa kibao lakini ujenzi wa hoja ya kile anachotakiwa kukifanya yaani matakwa yetu nadhani ndio inatakiwa kuwa mbele ya ujumbe wowote ule..mkosoe kisha mpe darsa la kipi kinatakiwa kufanyika na sii maswali juu ya maswali..
Tunawafahamu wana siasa hawakosi majibu, Obama amekusanya mabillioni kwa uchaguzi wake, leo tukitaka kumchambua kwa kima alichoweza kukusanya kwa uchaguzi na tukalinganisha na umaskini wa watu waishio South east Chicago basi tutakuwa tunampoteza kabisaaaa! Kila fedha ina umuhimu, majukumu na matumizi yake kulingana na wakati wake.
Tanzania yetu mfumo wa ukusanyaji fedha ni mbaya sana, Matumizi ya fedha za nje na ndani ni vichekesho vitupu yaani asili ya mwafrika, tunakimbilia kujenga majumba, kuendesha magari makubwa, kuhonga na kutafuta sifa za U Pedejee mitaani kuliko future ya maisha yetu...Mfumo wa maisha ya mwafrika ni siku kwa siku iwe leo tunamtazama Kikwete tofauti na jamii yenyewe jamani?..
Kila taasisi ya Kimataifa iliyokuja hapa wameshindwa ku deal na sisi wala hujafika Ikulu..Taasisi zote za UN wameinua mikono, mashirika mengi ya nje yamejikata kwa sababu ya rushwa iliyokufuru,kila Mtanzania leo hii ni striker wanatafuta magoli na sifa za ushindi..
Mkuu wangu Rev. Tanzania imeharibika kiasi kwamba haiwezi kurekebishwa pasipo kuwa na Dikteta, Mawazo yenu yanaweza kuwa mazuri sana lakini yote yanajenga Upole na huruma kwa kiongozi kitu ambacho hakiwezi kuondoa adha yetu. Na kikwete anaonekana mbovu kwa sababu anajaribu kuwaridhisha wananchi wenye hulka ya ubadhilifu..ndio maana kodi yetu hukusanywa kabla mtu hajafanya biashara! Uliona wapi mkuu wangu ati kodi ya mapato inakadiliwa kabla hujafungua biashara.. Ukitengeneza billioni au upate hasara, hiyo kodi yao imeshalipwa kwa mwaka ama miezi sita,...
Watu wana majumba (waliyo uziwa na serikali ya Mkapa) leo wakikodisha kwa dollar Usd 3,000 kwa mwezi na hawalipi kodi ya mapato hata ndululu..nyumba ambazo kwanza zilikuwa za viongozi wa mashirika haya haya tunayoyapigia kelele leo kujenga ama kununua..Tumerudi kuwa wapangaji na ujenzi wa nyumba yoyote mpya tunashtuka kwa thamani ya majumba wanayojengwa!..
Tujiulize sisi wenyewe tumeishia wapi kudai majumba alouzwa na Mkapa?..Tumefikia wapi kudai asilimia ktk madini, ardhi na mali zetu izinazoibiwa kila siku kwa misaada ya Watanzania wenyewe..Kila waziri ana share ktk mashirika yote makubwa ambayo yanaendesha uchumi wa nchi. Kila mwalimu ana shule yake, kila daktari ana zahanati yake, kila mtaalam ana kitengo chake private cha kazi nje ya ajira yake. Na hakuna kazi isiyokuwa na malipo hata iwe kupatia tin namba kwa makusanyo ya kodi ya serikali.. yaani mtu ananyimwa namba ya kujisajiri kulipa kodi hadi atoe kidogo...Utamwongoza kondoo zizini kama Kondoo na sii kama mbuzi!
Jamani mweee....acheni jamani msifanye mchezo!
The thing is... such simplification does not apply in the same measure to a Masai!Wealth is a function of Consumption, saving and investment. from economics simplified
Lets start from here......
The thing is... such simplification does not apply in the same measure to a Masai!
i always get annoyed to hear when he speak on radio or television, i wish majority of tanzanias would know that he might have good smile, he might be talking about people problems regularly, he might have nice looking face but he does not have what it takes to be a president who can make country prosper!
apart from his big smile and handsome face he has no plan to make this country prosper may b we are paying the price as during the campaign, former president mkapa was making funny of oppisition presidential ugly faces, did we choose the handsome?
Mchungaji,
sijawahi kuona Mkuu wa nchi kama rais wetu;huwa najisikia vibaya sana nikimsikiliza akionglea mambo muhimu ya taifa letu.utakumbuka wakati wa mktikisiko wa uchumi wa dunia aliwahi kusema maneno haya baada ya kuulizwa nchii itaathirika vp na janga hili; "hili haliwezi kutukumbuka sisi,ni kwa ajili ya mataifa makubwa na mabenki yao,sisi tuna benki ndogo ndogo hivyo hilo si letu".
Nilishangaa sana na kauli hiyo,yaani yeye alijua kuwa tatizo na Economic recesion ni kwa ajili ya mabenki tu?sasa sijui tatizo ni uwelewa wake mdogo au wa wasaidizi wake?
Mie mpaka sasa sijaelewa ila kwa kuwa alisema huwa hawasikilizi wasaidizi wake nina wasiwasi sana na uwezo wake wa kung'amua mambo.Haiwezekani kuongea bilion 15 ni nyingi kwsa nchi kama hii ambayo ina motorcade za BMW na posho nyingi..pesa zipo na azitumie vizuri,zilitoka wapi za RDC?huku ni kututia aibu tu
Ni hasara kubwa kwetu. Kiasi cha dola za Marekani milioni 15 ni nyingi kwa nchi masikini kama Tanzania lakini tumeamua kuwa ukarabati huo utakuwa umekamilika katika muda mfupi.
Rev,
Nakumbuka niliwahi kuandika kuwa huyu mheshimiwa JK yeye anafikiri kazi ya raisi ni kuomba misaada, na inaelekea hana hata aibu kuwa omba-omba.
Hivi ni lini ataacha hii aibu anayoipaka nchi kwa kuzunguka dunia nzima akitumbua halafu akiambiwa aongee ni kulalamika tu na kuomba misaada?
Shame on you JK.
kutangulia kusoma madrasaat badala ya elimu inayomfungua mtu kichwa kwanza ni tatizo, elimu aliyosoma kwa kiasi imeathiliwa na alimu ya awali ile ya kukaririshwa mamboMchungaji,
sijawahi kuona Mkuu wa nchi kama rais wetu;huwa najisikia vibaya sana nikimsikiliza akionglea mambo muhimu ya taifa letu.utakumbuka wakati wa mktikisiko wa uchumi wa dunia aliwahi kusema maneno haya baada ya kuulizwa nchii itaathirika vp na janga hili; "hili haliwezi kutukumbuka sisi,ni kwa ajili ya mataifa makubwa na mabenki yao,sisi tuna benki ndogo ndogo hivyo hilo si letu".
Nilishangaa sana na kauli hiyo,yaani yeye alijua kuwa tatizo na Economic recesion ni kwa ajili ya mabenki tu?sasa sijui tatizo ni uwelewa wake mdogo au wa wasaidizi wake?
Mie mpaka sasa sijaelewa ila kwa kuwa alisema huwa hawasikilizi wasaidizi wake nina wasiwasi sana na uwezo wake wa kung'amua mambo.Haiwezekani kuongea bilion 15 ni nyingi kwsa nchi kama hii ambayo ina motorcade za BMW na posho nyingi..pesa zipo na azitumie vizuri,zilitoka wapi za RDC?huku ni kututia aibu tu
asili ya kabila lake siyo watu wa kufikiri, kuchambua na kuboresha bali ni wa kucheza ngoma mno kuliko kazi,....wakilima mchicha wao kwao ni shamba kubwa mnoooRev.Kishoka,
..naomba kutoa dokezo.
..msaada aliotoa Gaddafi ni shilingi bilioni 1.5.
..wanadai fedha hizo zitajenga nyumba 200.
..sasa hebu linganisha na bilioni 2.5 zilizotumika kujenga nyumba moja ya Gavana wa BOT.
..halafu linganisha na gharama za kumpeleka JK na ujumbe wake kwenda kumshukuru Gaddafi huko Libya.