Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Kwenye picha akiwa na wenzie. Wakijadiliana mambo ya msingi kwa mataifa haya mawili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamemuomba arudi tena na madreva bajaji,bodaboda,malori,mabasi....bdae aende na wapiga debe,machawa,Kwenye picha akiwa na wenzie. Wakijadiliana mambo ya msingi kwa mataifa haya mawili.
View attachment 3007116
chuki zipi tena? sekta ya filamu ndo ina changamoto sana kwa sasa na samia naona ameona hilo jambo nadhani akimaliza hizo changamoto maisha ya watz mengi yatakuwa mazuri maana wengi wameamua kuwa waigizajiAsa hamuoni kua sector ya filamu inataka ikuzwe..nyie mna chuki za kimama na ushamba mwingi
kabisa maana wote tulishaamua kuwa wasaniiSanaa ina nafasi yake. Hongera Mheshimiwa Rai's Kwa kulitambua hilo
huo wivu sasa.unataka waigizaji tukale wapi????????????????????????????????????????????????????Hivi angewaomba hao watayarishaji kuja nchini mwetu ili kuwafunda hao Bongo muvi wake wasio jitambua, na hii ya kuwabeba kwenye Dreamliner ya walipa kodi; kipi kingekuwa ni bora zaidi?
Kuna jamaa zangu watatu ukiwaona hapo, unishtue. Mmoja anaitwa Kamanda Hae Mosu, wa pili ni Teacher Sambong na wa tatu anaitwa Captain Jang Bogo.Kwa mbali namuoma Jumong, chu ntae, na sendok
Wamemuomba arudi tena na madreva bajaji,bodaboda,malori,mabasi....bdae aende na wapiga debe,machawa,
haha haaa haaaaHapa tulipigwa.
Ila naweza kusema Mungu katupa tunachotaka.
Mungu tusaidie huyu mama asigombee 2025
Mungu mpe mama yetu roho ya kutosheka.