Utawauzia nini china Ambacho hawawezi kutengeneza wenyewe, Hivo vikapu hua vinauzwa sana kule Europe na wakenya, Biashara hio inasababisha tuwe wa pili au tatu Africa kwa kuzalisha makongeWacha weee..
Naona mnauza vikapu!
Hahahaaaa
Kuna ubaya upi? Nadhani catch ni material iliyotumiwa kuitengeneza. Acha vijana watangaze ubunifu wao kwa wachina.Wacha weee..
Naona mnauza vikapu!
Hahahaaaa
pengine nikuulize hako kanchi kenu LDC kanauzia china nini?....au cassava?😀😀😀au mnaexport beggarsWacha weee..
Naona mnauza vikapu!
Hahahaaaa
huyu mshamba atakuwa hata hana uelewa wowote wa industrialization iliomo China...hawa jamaa sidhani kama kuna kitu ambacho hawatengenezi wenyeweUtawauzia nini china Ambacho hawawezi kutengeneza wenyewe, Hivo vikapu hua vinauzwa sana kule Europe na wakenya, Biashara hio inasababisha tuwe wa pili au tatu Africa kwa kuzalisha makonge
Ningependa rais XI Jinping aweze kukubali hata kama ni maua yetu maana China pia wanapanda chai...hio trade imbalance ni jambo la kusikitisha sana
hahahaha thats funny babarosa..hivi nikuulize ni kwanini chai yote ya afrika mashariki huwa inakuja Mombasa auction? yaani chai ya Uganda, tz, rwanda zote huwa zinaletwa kwenye auction pale Mombasa...tafakari hayoHata kama China akipenda maua kutoka Kenya bado haitaweza/ruhusiwa na Muzungu kuuza Maua yake China au popote pale, Muzungu anamiliki biashara ya Maua Kenya 100% na ni lazima Maua yote yaende flower auction Amsterdam-Uholanzi!
hahahaha thats funny babarosa..hivi nikuulize ni kwanini chai yote ya afrika mashariki huwa inakuja Mombasa auction? yaani chai ya Uganda, tz, rwanda zote huwa zinaletwa kwenye auction pale Mombasa...tafakari hayo
hahaha wewe na conspiracy theories... duh!Ni Muzungu alipanga hivyo, Afrika hatujaweza kufanya chochote nje ya kile Muzungu alichoacha, hata hiyo Mombasa auction yenyewe ni Muzungu pia ndo anafanya!
Ha ha ha usikute tena vimetoka TzWacha weee..
Naona mnauza vikapu!
Hahahaaaa
Tanzania tunauza bidhaa nyingi tu uchina. Sema ninyi humu watu mumelala. Narafiki zangu wanasafirisha bidhaa china. Ukitaka namba zao nakupatia.Hongera yake sisi bado tunajenga viwanda vikianza kuzalishA ndo tutapeleka bidhaa...
rais wa africa....kisha ni sky news ya uingerezaPres of africa[emoji23][emoji23][emoji23]hawa wachina wamekula ndizi za wapi???
Tanzania tunauza bidhaa nyingi tu uchina. Sema ninyi humu watu mumelala. Narafiki zangu wanasafirisha bidhaa china. Ukitaka namba zao nakupatia.