Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
Naona wiki rais amepigia China kelele mpaka imebidi Xi jin Ping mwenyewe ahakikishe bidhaa za Kenya zinauzwa China ili bilateral trade kati ya Kenya-China isawazishwe iwe balanced
Kenya na Egypt ndo Marais walioalikwa huko CHina pekee kuenda ku market bidhaa zao
Kenyatta alimtembeza Xi kwa stand ya Kenya
Kenya na Egypt ndo Marais walioalikwa huko CHina pekee kuenda ku market bidhaa zao
Kenyatta alimtembeza Xi kwa stand ya Kenya