Rais angeachana na kulipa goli la mama akajenga uwanja wenye michezo mingi kama Olympic

Rais angeachana na kulipa goli la mama akajenga uwanja wenye michezo mingi kama Olympic

The Legacy

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2022
Posts
5,879
Reaction score
11,318
Nawasalimu,

Wote mmesikia kuwa tuliwakilishwa na wachezaji kadhaa kwenye Olympic huko Paris France.

Hakika hatukufanya vizuri na hawakurudi na medali hata moja.

Nimejaribj kufuatilia nchi za wenzetu majirani hususani Kenya wenzetu wana training ground inaitwa Kasarani kama sijakosea. Hii ground ina sehem ya kila mchezo wa olympic, Hi ni sababu iliyowafanya waweze kufanya vizuri huko na kuzoa medali.

Ni wakati Rais Samia ache hizi mambo za goli la mama, ni kutupa pesa bila sababu ya msingi, hii ni ishara ya kukosa dira kama taifa, ni aibu aisee

Badala yake angewekeza kwenye training ground ya olympic ili tuweze tengeneza wanamichezo wengi na kushindana zaidi kimataifa.
 
Nawasalimu,

Wote mmesikia kuwa tuliwakilishwa na wachezaji kadhaa kwenye Olympic huko Paris France.

Hakika hatukufanya vizuri na hawakurudi na medali hata moja.

Nimejaribj kufuatilia nchi za wenzetu majirani hususani Kenya wenzetu wana training ground inaitwa Kasarani kama sijakosea. Hii ground ina sehem ya kila mchezo wa olympic, Hi ni sababu iliyowafanya waweze kufanya vizuri huko na kuzoa medali.

Ni wakati Rais Samia ache hizi mambo za goli la mama, ni kutupa pesa bila sababu ya msingi, hii ni ishara ya kukosa dira kama taifa, ni aibu aisee

Badala yake angewekeza kwenye training ground ya olympic ili tuweze tengeneza wanamichezo wengi na kushindana zaidi kimataifa.
Angejenga Academy kwenye baadhi ya shule za Serikali kila mkoa.
 
Nawasalimu,

Wote mmesikia kuwa tuliwakilishwa na wachezaji kadhaa kwenye Olympic huko Paris France.

Hakika hatukufanya vizuri na hawakurudi na medali hata moja.

Nimejaribj kufuatilia nchi za wenzetu majirani hususani Kenya wenzetu wana training ground inaitwa Kasarani kama sijakosea. Hii ground ina sehem ya kila mchezo wa olympic, Hi ni sababu iliyowafanya waweze kufanya vizuri huko na kuzoa medali.

Ni wakati Rais Samia ache hizi mambo za goli la mama, ni kutupa pesa bila sababu ya msingi, hii ni ishara ya kukosa dira kama taifa, ni aibu aisee

Badala yake angewekeza kwenye training ground ya olympic ili tuweze tengeneza wanamichezo wengi na kushindana zaidi kimat
Waache watoto wale jasho lao.
Kama unadhani ni rahisi, jaribu na wewe
 
Huo nawashangaa sana mnaoweka expectations na mapendekezo meeengi kwa number 1, kiufupi naonaga kama mmechanganyikiwa tu..huo muda wa kuwaza hayo mnayowaza anao?
 
Sasa anapotea,nchi haina dira kabisaaa
Huo nawashangaa sana mnaoweka expectations na mapendekezo meeengi kwa number 1, kiufupi naonaga kama mmechanganyikiwa tu..huo muda wa kuwaza hayo mnayowaza anao?
 
Ivi uwanja wa mpira Dodoma umefikia wapi au Dodoma sio host CITY moja wapo CAF 2026?
 
Back
Top Bottom