Rais Assad aripotiwa kuikimbia Syria, Majeshi ya Waasi yatangaza kuuchukua mji mkuu wa Damascus

Waje na huku watusaidie, hao ndiyo wanaume haswa
Hahaha huku mnawaita Magaidi wamesusa.

Lakini usiombe hao watu ndio wawaondoe ccm, utaomba poo.
Watakuua kabla hujaanza kufurahia ushindi huo, wanahasira na wewe zaidi ya unavyodhani.

Hapa ccm tutawaondoa wwnyewe, wao waende huko huko Syria, na Palestina.
 
Ni washikaji sn wanapenda haki angalie Sheikh Ponda
 
Duh hatari Iran na Russia wamepoteza sana mshiriki wao katika eneo la mashariki ya kati.
Hapo kaumia Iran sio mrusi....ndo maana hao jamaa hata kambi za urusi hawajaingia na mrusi katoa statement wamalizane kwa amani yeye hana shida na mtu hapo
 
CCM aliwaondoa makaburu huu ukanda wa kusini mwa Afrika kote wanamuelewa , sembuse leo waje kutolewa na wanaofadhiliwa na ma lgbt kazi ipo
 
Hata hiyo moja imemshinda. Wanajeshi wanaendelea kugomea mpango wake wa kuendelea na Vita. Putin amekwezwa sana kwenye fikra na propaganda,lakini kiuhalisia ni chenga tu
Vikwazo Urusi alivyowekewa karibu kila sekta ni kama wewe ufungwe miguu na mikono halafu upigane.

Vikwazo ni silaha kubwa kuliko hata vita. Syria inavyo kwa miaka zaidi ya kumi.

Duniani hapa ni Russia na China tu zinaweza kuhimili vikwazo vya USA akitumia UN na dunia nzima.
 
Ndugu zangu wasuni na washia tuache kupigania

Mtume wetu akitusia adui yetu Ni mayahud na makafiri

Tuwaangamize Hawa ili mola wetu akatuzawadie katika zile bikra tamu alizotuahidia 😋
Umalaya tu umekutawala akili yako unafikiria bikra tu na wanawake nao watakutana na bikra?

Kafiri mkubwa wewe na mayahudi ndio kwanza wanawawashia moto huko
 
Ukifuatilia mitandaoni hasa kule telegram..wanasema palikua na makubaliano...ya transition of power ingawa kwa shingo upande..na wanasema Assad mwenyewe alitoa go - ahead...then akasepa zake.
Lkn all in all...SAA walikuwa wanapewa amri ya kutopigana..US & Israel wakakataza Iran kuingiza reinforcements - Hezbollah
challii..Russia wakaona isiwe tabu...
The Syrian opposition hopes for good relations with Moscow, Anas al-Abda, a member of the political committee of the National Coalition of Opposition and Revolutionary Forces, told TASS.

@Slavyangrad
 
Mwisho wake umefika, hana jinsi yoyote ya kumbakisha madarakani.

Ila hii oparesheni ya waasi imenishangaza sana, ndani ya muda mfupi wamechukua nchi!
Wapo supported na mossad. Clandestine ilifanyika kwa muda mrefu
 
Nasemaje akuna kitu kama icho eti wanajeshi kuingia nchi jilani na siraha zao mikononi.
Kwani Irag ina makundi mangapi yanayotawala kaskazini na kusini!? Alipoweka mkono mmarekani hiyo nchi haiwezi kuwa na amani hata kidogo...
 
Hata hiyo moja imemshinda. Wanajeshi wanaendelea kugomea mpango wake wa kuendelea na Vita. Putin amekwezwa sana kwenye fikra na propaganda,lakini kiuhalisia ni chenga tu
Vita 2 zipi hizo ........wakubwa wameshafanya yao.....hapa Iran katolewa kafara
 


Ni magaidi na Al-Julani (katikati) kiongozi wa HTS ana dola milioni 10 kichwani zilitengwa na Marekani kwa yeyote ataetoa taarifa za kukamatwa kwake.
 
Ni washikaji sn wanapenda haki angalie Sheikh Ponda
Hahaha yule anapenda haki lakini BAKWATA hawamtambui, naye HAWATAMBUI vile vile. Wao wanaitana Shia na Suni. Tatizo lao wakianza kukuita Kafir, wanakufyeka.

Nilivyochoshwa na mauzauza ya CCM niliwahi kuwatamani Al Qaeda na Al Shabab, lakini niliwahi kuishi na msomali aliyehama Somalia anishi Kenya, akanambia Usiombe, wanabalaa sana, wakipata kidogo wanataka chote, na siyo kwa hiyari, bali kwa nguvu. Na baada ya hapo sasa waanza msako wale wote ambao waliwakataa mwanzo lazima MFE hadharani ili kuwatia adabu wengine. Jamaa anasema wao ni Waislamu, lakini wale jamaa hawajali hilo, ni kwamba uliwahi kuwa kan huko nyuma unatembezewa jambia.

Familia yake walipoanza kufa, anasema Kenya walipaona ni kama Mbinguni, palikuwa mbali na hapakufikika kirahisi.

Hivyo usiombe watakapo malizana wataanza kukumaliza wewe.
 
CCM aliwaondoa makaburu huu ukanda wa kusini mwa Afrika kote wanamuelewa , sembuse leo waje kutolewa na wanaofadhiliwa na ma lgbt kazi ipo
Hahaha muda ukifika watakimbizwa mchana kweupeee. Nami nitakuwa nashangilia kama mpira vile kwa Mkapa.
 
Hahaha muda ukifika watakimbizwa mchana kweupeee. Nami nitakuwa nashangilia kama mpira vile kwa Mkapa.
Kumbe utakua unashangilia........hautakua katika wale watakao kua wanawakimbiza.....basi ngoja ufanyiwe homework yako kijana
 
Mbona imekua mapema kiasi hichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…