kmbwembwe JF-Expert Member Joined Aug 16, 2012 Posts 10,892 Reaction score 7,780 Feb 27, 2014 #21 CHAZA said: Ila takwimu za kwako ndo zimethibitisha kuwa wananchi wanataka serikali2? Maoni hayo ulikusanya lini?! Click to expand... Maana yake bunge la katiba ndio litaamua serikali ngapi sio tume ya Warioba.
CHAZA said: Ila takwimu za kwako ndo zimethibitisha kuwa wananchi wanataka serikali2? Maoni hayo ulikusanya lini?! Click to expand... Maana yake bunge la katiba ndio litaamua serikali ngapi sio tume ya Warioba.
Tuko JF-Expert Member Joined Jul 29, 2010 Posts 11,180 Reaction score 7,346 Feb 27, 2014 Thread starter #22 kmbwembwe said: Katika utafiti kuna kitu inaitwa 'sampling' ili kuhakiki kama una 'sample' wakilishi. Inadaiwa kitakwimu maoni kuhusu idadi ya serikali sio wakilishi. Click to expand... Inadaiwa!! Kumbe siwezi kuulizia uthibitisho...
kmbwembwe said: Katika utafiti kuna kitu inaitwa 'sampling' ili kuhakiki kama una 'sample' wakilishi. Inadaiwa kitakwimu maoni kuhusu idadi ya serikali sio wakilishi. Click to expand... Inadaiwa!! Kumbe siwezi kuulizia uthibitisho...
Tuko JF-Expert Member Joined Jul 29, 2010 Posts 11,180 Reaction score 7,346 Feb 27, 2014 Thread starter #23 kmbwembwe said: Maana yake bunge la katiba ndio litaamua serikali ngapi sio tume ya Warioba. Click to expand... Bunge lenye watu 600 ndio proper sampling ya watanzania milioni 30?
kmbwembwe said: Maana yake bunge la katiba ndio litaamua serikali ngapi sio tume ya Warioba. Click to expand... Bunge lenye watu 600 ndio proper sampling ya watanzania milioni 30?
kmbwembwe JF-Expert Member Joined Aug 16, 2012 Posts 10,892 Reaction score 7,780 Feb 28, 2014 #24 Tuko said: Bunge lenye watu 600 ndio proper sampling ya watanzania milioni 30? Click to expand... Sio sample ni wawakilishi. Kuna wabunge wa SMT na wawalishi znz na pia makundi yamewakilishwa. Halafu sheria ya Bunge la katiba imewapa mamlaka kutunga katiba.
Tuko said: Bunge lenye watu 600 ndio proper sampling ya watanzania milioni 30? Click to expand... Sio sample ni wawakilishi. Kuna wabunge wa SMT na wawalishi znz na pia makundi yamewakilishwa. Halafu sheria ya Bunge la katiba imewapa mamlaka kutunga katiba.