Rais au Mfalme kufanywa Mateka

Kweli mkuu manabii wa mchongo walikua wqnapewa maono ki mchongo tu!.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Dahh ila siasa za dunia hii

Ushaambiwa "labda mambo yaharibike Sana"

Kwa sasa watu wanaongea ilimradi ionekane kunaongelewa. Lakini Kipindi cha nyuma kidogo paliongeleka haswa
 
 

Attachments

  • UDIKTETA MWALIM NYERERE.jpg
    100.1 KB · Views: 3
Chura Kiziwi - Kizimkazi moko
 
Kazi sana. Kuna wakati mashambulizi yanakuwa makali. Timu inarudi katikati ya uwanja, mara wanarudi nyuma. mara wanarudi kama magolikipa. mara wameingia wenyewe wavuni.
 
Ujumbe umefika, japo umeufikisha kiuoga mno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…