Rais awapatia Wachezaji wa Taifa Stars Viwanja vya kujenga Dodoma

Rais awapatia Wachezaji wa Taifa Stars Viwanja vya kujenga Dodoma

Acha umburula na uzwazwa, mauma mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha utahira na ukeg.e, kuna aina tatu tu za kujibu maswali, au kujibu hoja.
Nimetumia lugha rahisi sana ili nieleweke kuwa dodoma jua ni kali sanaaa mazeruzeru na wanaojichubua wanapata tabu sana (siwaweki kundi moja mazeruzeru na wanaojichuna ngozi) .
Albino ni kiingereza kiswahili ni zeruzeru.
 
Swali la mtego.
Ni swali la mtego kweli ukiangalia pale kila kitu kiliandaliwa kwa ajili ya kiki, ndio maana wakati anaongea akamvutia kwenye maiki ili wasikike jambo ambalo halina haja kimsingi.. Alimuuliza km sh ngap anahitaji na nina amini alikuwa kaandaliwa hiyo hiyo milioni 5 ni aheri angeropoka tu, nahitaji milion 10.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mheshimiwa. Rais ametoa motisha kubwa sana na zawadi nzuri sana kwa wachezaji,kila la heri timu yetu

Sent using Jamii Forums mobile app

Awape pia ile timu iliyofuzu mwaka 80. Wapeni akina Tino pesa ya nguvu jamani hawa ndio waliocheza kwa uzalendo wa dhati. Hao madogo mabishoo tu + bahati.
Naomba akina Tenga wasimamie hili ili wale wote walio hai wapate 'haki' yao na waliofariki familia zao ziwe honored with fedha offcourse.
 
Awape pia ile timu iliyofuzu mwaka 80. Wapeni akina Tino pesa ya nguvu jamani hawa ndio waliocheza kwa uzalendo wa dhati. Hao madogo mabishoo tu + bahati.
Naomba akina Tenga wasimamie hili ili wale wote walio hai wapate 'haki' yao na waliofariki familia zao ziwe honored with fedha offcourse.
Sioni mantiki,kwani wao hawakupata motisha ya kipindi hiko,walikula cent zao kama walizitumia vibaya wao hatujui,si mbaya ni wazo pia
 
Acha utahira na ukeg.e, kuna aina tatu tu za kujibu maswali, au kujibu hoja.
Nimetumia lugha rahisi sana ili nieleweke kuwa dodoma jua ni kali sanaaa mazeruzeru na wanaojichubua wanapata tabu sana (siwaweki kundi moja mazeruze kilaru na wanaojichuna ngozi) .
Albino ni kiingereza kiswahili ni zeruzeru.
Punguani mkubwa
 
Ni swali la mtego kweli ukiangalia pale kila kitu kiliandaliwa kwa ajili ya kiki, ndio maana wakati anaongea akamvutia kwenye maiki ili wasikike jambo ambalo halina haja kimsingi.. Alimuuliza km sh ngap anahitaji na nina amini alikuwa kaandaliwa hiyo hiyo milioni 5 ni aheri angeropoka tu, nahitaji milion 10.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mkubwa augustino Peter (tino )apunguze usela ile khutba yake huku anarusha mikono kama yupo maskani mision kota umri umeenda hata hivyo kaambulia milioni 5 usawa huu si haba.
 
Back
Top Bottom