Anampango wa kustaafu hivi karibuni? undugu haufiHahahaha subiri astaafu kuichezea Simba maana kuwa dada yake wa hiari itafika hadi zaidi ya dada
Sent using Jamii Forums mobile app
Sioni mantiki,kwani wao hawakupata motisha ya kipindi hiko,walikula cent zao kama walizitumia vibaya wao hatujui,si mbaya ni wazo pia
kama walikuwa hawalipwi chochote ilikuaje Mkwasa na Tenga wakatoboa, N a miaka hiyo wengi walipita hata wazazi wetu walitusua miaka hiyoZamani walikuwa hawalipwi chochote ndugu yangu. Ni haki yao kulipwa sasa iwe kama pensheni yao. Tino na wenzake walipwe mihela na viwanja eka 2@
kama walikuwa hawalipwi chochote ilikuaje Mkwasa na Tenga wakatoboa, N a miaka hiyo wengi walipita hata wazazi wetu walitusua miaka hiyo
Ni upendo tu sio haki yakeTino kapewa mil5 na kiwanja Dodoma. Great...
Sanasana itakuwa Mapinduzi,Kikombo,Iyumbu au Mtumba na maeneo mengine walikopima viwanja ila sio Ilazo.
Vip kuhusu kapombe cameumia akitetea taifaTino kapewa mil5 na kiwanja Dodoma. Great...
vitawekewa masharti..hakuna kuviuza kwa watu wengine...Dodoma siyo mabwepandeWatavipiga bei tu Dodoma si sehemu ya kuishi wallah kuna jua kali vibaya mno wenye ualbino nadhani wanayeyuka
Asee!!Amefanya vizuri ili kuwatia moyo. Lakini Je viwanja hivyo vilikuwa vimetengwa kwa ajili ya nini? Je huko waendako wakifungwa, watadaiwa wavirudisha?
Kwa kuwa wametekeleza Ilani ya ccm huko Misri wapewe tu