johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
CHADEMA mmekuwa mnajiweka mbali sana na michezo na sidhani hapo Ufipa St mna sera ya michezo.
Karibuni hapa Lumumba mjifunze michezo ni siasa.
Hadi mwisho USA 1 IRAN 0, Biden akatoa salam kwa taifa, timu na wachezaji.
Karibuni hapa Lumumba mjifunze michezo ni siasa.
Hadi mwisho USA 1 IRAN 0, Biden akatoa salam kwa taifa, timu na wachezaji.