Mr kenice JF-Expert Member Joined Mar 15, 2022 Posts 4,260 Reaction score 7,033 Sep 10, 2023 #21 Itacheleweshwa ila mwisho wa siku itakufikia tu.
Juma Wage Member Joined Sep 8, 2023 Posts 88 Reaction score 246 Sep 10, 2023 Thread starter #22 Mr kenice said: Itacheleweshwa ila mwisho wa siku itakufikia tu. Click to expand... Sahihi kabisa.
Juma Wage Member Joined Sep 8, 2023 Posts 88 Reaction score 246 Sep 10, 2023 Thread starter #23 Messenger RNA
Messenger RNA JF-Expert Member Joined Jul 24, 2022 Posts 1,411 Reaction score 3,712 Sep 10, 2023 #24 Juma Wage said: Messenger RNA Click to expand... Nipo hapa mkuu,Biden kafanya jambo la busara sana.
The Worst JF-Expert Member Joined Sep 12, 2021 Posts 6,108 Reaction score 21,140 Sep 19, 2023 #26 Angalao wenzetu wanakupa heshima ukiwa ungali hai. Hapa nyumbani ukishakufa sifa zako utasomewa ukiwa maiti saa chache kabla hujachimbiwa ardhini.
Angalao wenzetu wanakupa heshima ukiwa ungali hai. Hapa nyumbani ukishakufa sifa zako utasomewa ukiwa maiti saa chache kabla hujachimbiwa ardhini.
U ustadhijuma JF-Expert Member Joined Jul 20, 2015 Posts 3,021 Reaction score 1,978 Sep 19, 2023 #27 Alichonifurahisha huyo askari ni kugomea maelekezo ya kipuuzi.
Juma Wage Member Joined Sep 8, 2023 Posts 88 Reaction score 246 Sep 20, 2023 Thread starter #28 Saint Anno II said: Angalao wenzetu wanakupa heshima ukiwa ungali hai. Hapa nyumbani ukishakufa sifa zako utasomewa ukiwa maiti saa chache kabla hujachimbiwa ardhini. Click to expand... Hahahah
Saint Anno II said: Angalao wenzetu wanakupa heshima ukiwa ungali hai. Hapa nyumbani ukishakufa sifa zako utasomewa ukiwa maiti saa chache kabla hujachimbiwa ardhini. Click to expand... Hahahah
MALANGA LANGA JF-Expert Member Joined Jun 1, 2023 Posts 362 Reaction score 1,081 Sep 20, 2023 #29 Katika nchi ambayo natamani kufika ili nikafanye utalii ni Vietnam na Bangkok Thailand naamini mwakani ntaanza nanchi moja wapo
Katika nchi ambayo natamani kufika ili nikafanye utalii ni Vietnam na Bangkok Thailand naamini mwakani ntaanza nanchi moja wapo
Juma Wage Member Joined Sep 8, 2023 Posts 88 Reaction score 246 Sep 20, 2023 Thread starter #30 MALANGA LANGA said: Katika nchi ambayo natamani kufika ili nikafanye utalii ni Vietnam na Bangkok Thailand naamini mwakani ntaanza nanchi moja wapo Click to expand... Kwa nini umechagua nchi hizo mkuu?
MALANGA LANGA said: Katika nchi ambayo natamani kufika ili nikafanye utalii ni Vietnam na Bangkok Thailand naamini mwakani ntaanza nanchi moja wapo Click to expand... Kwa nini umechagua nchi hizo mkuu?
MALANGA LANGA JF-Expert Member Joined Jun 1, 2023 Posts 362 Reaction score 1,081 Sep 20, 2023 #31 Juma Wage said: Kwa nini umechagua nchi hizo mkuu? Click to expand... Matukio waliofanya uko nyuma nimependezewa nayo sana hivyo vizuri nikaenda kujisomea uku naonyeshwa
Juma Wage said: Kwa nini umechagua nchi hizo mkuu? Click to expand... Matukio waliofanya uko nyuma nimependezewa nayo sana hivyo vizuri nikaenda kujisomea uku naonyeshwa