Rais Biden amtunuku nishani ya heshima askari aliyekaidi amri katika uwanja wa vita Vietnam

Itacheleweshwa ila mwisho wa siku itakufikia tu.
 
Angalao wenzetu wanakupa heshima ukiwa ungali hai.

Hapa nyumbani ukishakufa sifa zako utasomewa ukiwa maiti saa chache kabla hujachimbiwa ardhini.
 
Katika nchi ambayo natamani kufika ili nikafanye utalii ni Vietnam na Bangkok Thailand naamini mwakani ntaanza nanchi moja wapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…