Rais Biden: Putin alikosea kufikiri Mataifa ya Magharibi hayatojibu alipoishambulia Ukraine

Rais Biden: Putin alikosea kufikiri Mataifa ya Magharibi hayatojibu alipoishambulia Ukraine

Kila bosi ana bosi wake
Yan wewe hujui hivi unafikiri America inashindwa kuipiga urusi? sSkia nikuambie mataifa haya mawili ni makubwa kijeshi ila mkubwa zaid ni USA sas kitend cha yey kuingia kwa vita ni kuhalalisha vita ya 3 ya dunia ndo maan Biden anajaribu kuibana urus kiuchumi kuliko kuchukua bunduk saw acha ushabik hujui mmbo yakoje
 
Back
Top Bottom