hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji16][emoji16][emoji16]Naona Marekani anajibu kwa ngojera.
Kweli kila mbabe na mbabe wake.
Shikamoo Russia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]Naona Marekani anajibu kwa ngojera.
Kweli kila mbabe na mbabe wake.
Shikamoo Russia.
Mwanaume anashusha nyundo, wadada wanashusha manenoBiden kasema Putin hajui kitu naona humu wengi wapo kama putin hawajui kitu[emoji23]
sasa VPN na online purchase wapi na wapi ndugu ?
Afu anaongea akiwa kwenye handakiMarekani bhana. Mdomo mrefu kama kasuku.
Yan wewe hujui hivi unafikiri America inashindwa kuipiga urusi? sSkia nikuambie mataifa haya mawili ni makubwa kijeshi ila mkubwa zaid ni USA sas kitend cha yey kuingia kwa vita ni kuhalalisha vita ya 3 ya dunia ndo maan Biden anajaribu kuibana urus kiuchumi kuliko kuchukua bunduk saw acha ushabik hujui mmbo yakojeKila bosi ana bosi wake