Rais Dk. William Ruto nimependa IQ yako, Commitment, daring na your Love for Kenyans, ila huna Uchumi wa kutenda Uliyoyaahidi

Rais Dk. William Ruto nimependa IQ yako, Commitment, daring na your Love for Kenyans, ila huna Uchumi wa kutenda Uliyoyaahidi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na hapa ndiyo Kosa Kubwa Marais wengi Wateule hasa wa Barani Afrika huwa mnafanya kwa kuja na Honey Speech zenu tena za Kusisimua na kutia Moyo ila implementation huwa ni Zero.

Rais Mteule wa Kenya Dk. William Ruto baada ya kukusikiliza Kiumakini na Hotuba yako ambayo kwa 90% imelenga Uchumi wa Kenya na Wakenya GENTAMYCINE nikalazimika kidogo kufanya Utafiti wangu wa Facts ( Data ) za Uchumi wa Kenya na nilichokikuta hakiendani na Ahadi zako lukuki.

Rais Dk. Ruto Kenya yako sasa inahangaika Kiuchumi, Wananchi wako wanalia Njaa, hawazalishi kile cha Kuwatosha na hata cha Kuuza Nje je, hii Jeuri kuwa utaibadilisha Kenya overnight unaitoa / umeipata wapi?

Umewadanganya mno Wakenya.
 
Na hapa ndiyo Kosa Kubwa Marais wengi Wateule hasa wa Barani Afrika huwa mnafanya kwa kuja na Honey Speech zenu tena za Kusisimua na kutia Moyo ila implementation huwa ni Zero.

Rais Mteule wa Kenya Dk. William Ruto baada ya kukusikiliza Kiumakini na Hotuba yako ambayo kwa 90% imelenga Uchumi wa Kenya na Wakenya GENTAMYCINE nikalazimika kidogo kufanya Utafiti wangu wa Facts ( Data ) za Uchumi wa Kenya na nilichokikuta hakiendani na Ahadi zako lukuki.

Rais Dk. Ruto Kenya yako sasa inahangaika Kiuchumi, Wananchi wako wanalia Njaa, hawazalishi kile cha Kuwatosha na hata cha Kuuza Nje je, hii Jeuri kuwa utaibadilisha Kenya overnight unaitoa / umeipata wapi?

Umewadanganya mno Wakenya.
Welcome back my friend.

Nimemiss sana nondo zako kwenye jukwaa la michezo..

Huwa nafarijika sana nikiwa napitia madini yako kaka..

Sorry kwa kua nje ya mada lakini..[emoji16]
 
RUBISH kabisa

Kuhusu Kenya huijui na hutokaa uijue Kama hujajipa muda wa kuifahamu Kenya na wakenya na huyu WSR.

Kuanzia April 2022 Samia ikibidi apeleke vichwa hata vitano pale ubalozin kenya waende wakamsome huyu jamaa WSR.

Hela ya Kenya imeshuka Zaid ya miez sita Sasa Ila nakupa miez 3 utaona pesa yao ipoje na bado hawana chakula Wala mvua na huto sikis njaa upande wa Kenya sanasana utaskia ndugu zako watanzania Wakilia njaa.
 
RUBISH kabisa

Kuhusu Kenya huijui na hutokaa uijue Kama hujajipa muda wa kuifahamu Kenya na wakenya na huyu WSR.

Kuanzia April 2022 Samia ikibidi apeleke vichwa hata vitano pale ubalozin kenya waende wakamsome huyu jamaa WSR.

Hela ya Kenya imeshuka Zaid ya miez sita Sasa Ila nakupa miez 3 utaona pesa yao ipoje na bado hawana chakula Wala mvua na huto sikis njaa upande wa Kenya sanasana utaskia ndugu zako watanzania Wakilia njaa.
You're having a Mental Case I advise to visit a Psychiatrist near you so that you can be treated quickly before it becomes worse.
 
Hii ndio awamu itakuwa na upigaji mkubwa kuliko iliondoka..

Kenya kuna rushwa nono tupu wanaitaji kiongozi sampuli ya "Kagame '

Kongole kwa kutumia jicho la Tai kuliona hili
 
Hii ndio awamu itakuwa na upigaji mkubwa kuliko iliondoka..

Kenya kuna rushwa nono tupu wanaitaji kiongozi sampuli ya "Kagame '

Kongole kwa kutumia jicho la Tai kuliona hili
Ulipomtaja Rais wangu Paul Kagame nimefurahi mno Mkuu kwani kwa sasa Afrika nzima ukimtoa Genius Rais Museveni mwingine ambaye ni Genius ni Paul Kagame wa Rwanda.

Mapovu rukhsa.
 
Na hapa ndiyo Kosa Kubwa Marais wengi Wateule hasa wa Barani Afrika huwa mnafanya kwa kuja na Honey Speech zenu tena za Kusisimua na kutia Moyo ila implementation huwa ni Zero.

Rais Mteule wa Kenya Dk. William Ruto baada ya kukusikiliza Kiumakini na Hotuba yako ambayo kwa 90% imelenga Uchumi wa Kenya na Wakenya GENTAMYCINE nikalazimika kidogo kufanya Utafiti wangu wa Facts ( Data ) za Uchumi wa Kenya na nilichokikuta hakiendani na Ahadi zako lukuki.

Rais Dk. Ruto Kenya yako sasa inahangaika Kiuchumi, Wananchi wako wanalia Njaa, hawazalishi kile cha Kuwatosha na hata cha Kuuza Nje je, hii Jeuri kuwa utaibadilisha Kenya overnight unaitoa / umeipata wapi?

Umewadanganya mno Wakenya.
Wewe si ndo ulikuwa unasema baba the 5th, umekuja na uchawi wako mwingine??
 
Back
Top Bottom