Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Ni Mdengereko? Nilikuwa sijuiAlways Wandengereko huwa ni watu wema sana.
Hapana mimi ni Raia. Mwema tuWewe ni chawa wake?!!
Kwani huko sukari imepanda bei na je umeme unashida kama bara?Kwanza Nimpe Pole Sana Dr Hussein Mwinyi kwa kuondokewa na Baba Yake Kipenzi Mzee Rais Mstaafu Ali Hussan Mwinyi Kilichotokea Mwezi uliopita Tar 29 Feb 2024.
Mungu aiweke Roho ya Marehemu mahali pema peponi.
Salamu zingine leo ni kumpongeza Rais Dr Hussein Mwinyi kwa kazi nzuri anayofanya Ktk Visiwa vya Zanzibar.
Amejipanga kuleta mabadiliko ktk Nyanja zote za kijamii, Uchumi na Maendeleo.
Tangu alipoingia madarakani Wananchi wa Zanzibar wanashuhudia mabadiliko kadha wa kadha hasa ujenzi wa miundo mbinu barabara, shule, hospitali, na mifumo ya kisiasa imeimarika.
Licha ya hayo Kwa Ukarimu wake na umahiri wake wakutebda kazi bado huwezi kumsikia akijigamba. Siku zote kauli yake ni, sisi tume......tuta.....tuna....
Zanzibar imekuwa na utulivu, amani, na maendeleo yameanza kuonekana.
Tunamuombea kwa Mungu azidi kumjalia Khekima, Umoja na Upendo ili azidi kuwatumikia Wazanzibar kwa nguvu zote.
Kwa utulivu ulioko Zanzibar kwa sasa inaonekana Raia wote wamemkubali
Insha Allah Asalam Aleykum.
Ili uwe rais lazima utumie mabavu kuupata urais.Tusimhukumu bila ushahidi.....alikuwa hajawa Rais.
Sio lazima....labda kama hupendwi na unalazimisha kingIli uwe rais lazima utumie mabavu kuupata urais.