Rais Dkt. John Pombe Magufuli Mgeni Rasmi Sherehe Za kukabidhi Kombe Kwa Bingwa Wa VPL Leo Tarehe 19/05/2018

Rais Dkt. John Pombe Magufuli Mgeni Rasmi Sherehe Za kukabidhi Kombe Kwa Bingwa Wa VPL Leo Tarehe 19/05/2018

Hili kombe la VPL ni dogo sana.
Dar es Salaam Young Africans ambao wamechukua kombe mara nyingi kuliko Simba na mara ya mwisho wakalichukua kwa miaka minne mfululizo, hawajawahi kumwita hata katibu kata kwenda kuwakabidhi.
Rais aliyepita alikuwa Yanga damu lakini hajawahi kualikwa na wanayanga kwenda kukabidhi kombe.
Kifalsafa hii ya Rais kwenda kukabidhi kombe la VPL ambalo linashindaniwa kila mwaka na lazima timu moja ya Tanzania ishinde halijakaa vizuri.
Je mwakani Singida united wakichukua kombe ataitwa Rais kuja kukabidhi?
TFF wanatengeneza' precedence ' ambayo inaweza kuchafua hali ya hewa baadaye kwa timu zingine kuheshimawa zaidi kwa sababu ya unazi na zingine kudharauliwa.
Hayati Mwalimu Nyerere kwa wale wasoi jua Historia alipewa kadi namba moja Yanga lakini hadi anafariki hajawahi kuonyesha dalili ya unazi wake Yanga.
Siasa za Inchi hii zilianzia kwenye vilabu vya mpira wa miguu na hasa Yanga.
Harakati za kuikomboa Inchi toka kwa Wakoloni zilianzia Yanga.
Simba ilikuwa ya Wahindi na Waarabu (angalia rangi zao).
Kuna siku moja mshabiki wa SIMBA alimwendea Nyerere na kumwomba awaambie Yanga wabadili rangi ya jezi zao kwa sababu zinafanana na za TANU. Nyerere alimwambia , wewe mjinga sana, Yanga tuliwakuta na rangi zao, labda ungeniomnba sisi TANU tubadili rangi zetu.
Ingefaa sana kama Simba wangeshinda kombe la Africa ingekuwa haki Serikali yote kuhamia Uwanja wa taifa kupokea kombe.
Unaweza kuigawa inchi kwa kiongozi mkuu kushabikia klabu za mpira kwani ushabiki wa mbira ni tabaka sawa na matabaka ya Dini, kabila au hata vyama vya Siasa.


Aaaaah, ZANU yetu/ yao.

Tunapokezana vijiti, Rais ajaye atakuwa mnazi wa Yanga ila asiwe Mwingulu.

Chagua kati ya Jerry Muro, Mzee Akilimali na Nsajigwa. Aaaaaah!!

Wakichukua Lipuli ya Iringa au Nazareth ya Njombe tutatafuta MTU sahihi wa kuwakabidhi.
 
Hili kombe la VPL ni dogo sana.
Dar es Salaam Young Africans ambao wamechukua kombe mara nyingi kuliko Simba na mara ya mwisho wakalichukua kwa miaka minne mfululizo, hawajawahi kumwita hata katibu kata kwenda kuwakabidhi.
Rais aliyepita alikuwa Yanga damu lakini hajawahi kualikwa na wanayanga kwenda kukabidhi kombe.
Kifalsafa hii ya Rais kwenda kukabidhi kombe la VPL ambalo linashindaniwa kila mwaka na lazima timu moja ya Tanzania ishinde halijakaa vizuri.
Je mwakani Singida united wakichukua kombe ataitwa Rais kuja kukabidhi?
TFF wanatengeneza' precedence ' ambayo inaweza kuchafua hali ya hewa baadaye kwa timu zingine kuheshimawa zaidi kwa sababu ya unazi na zingine kudharauliwa.
Hayati Mwalimu Nyerere kwa wale wasoi jua Historia alipewa kadi namba moja Yanga lakini hadi anafariki hajawahi kuonyesha dalili ya unazi wake Yanga.
Siasa za Inchi hii zilianzia kwenye vilabu vya mpira wa miguu na hasa Yanga.
Harakati za kuikomboa Inchi toka kwa Wakoloni zilianzia Yanga.
Simba ilikuwa ya Wahindi na Waarabu (angalia rangi zao).
Kuna siku moja mshabiki wa SIMBA alimwendea Nyerere na kumwomba awaambie Yanga wabadili rangi ya jezi zao kwa sababu zinafanana na za TANU. Nyerere alimwambia , wewe mjinga sana, Yanga tuliwakuta na rangi zao, labda ungeniomnba sisi TANU tubadili rangi zetu.
Ingefaa sana kama Simba wangeshinda kombe la Africa ingekuwa haki Serikali yote kuhamia Uwanja wa taifa kupokea kombe.
Unaweza kuigawa inchi kwa kiongozi mkuu kushabikia klabu za mpira kwani ushabiki wa mbira ni tabaka sawa na matabaka ya Dini, kabila au hata vyama vya Siasa.
Unachopaswa kuelewa ni kwamba matukio ya kuzindua yameisha sasa tutawalaumu TFF bure kumbe utakuta TFF imeagizwa tu kuandika barua ya kuomba mgeni rasmi, na kama wewe ni mdadisi tangazo la ugeni rasmi lilitolewa kabla ya conformation kutoka ikulu.

Unajuwa mpira una mashabiki wengi, leo kuna mipumbavu ya Simba haitoona ugumu wowote wa maisha na ufukara unaotukabili kisa tu mtu fulani anawakabidhi kombe.

Ujinga kama huu upo kwenye nchi ambazo bado zinasumbuliwa na magonjwa kama kipindupindu na utapiamlo.

Uliza ligi kubwa duniani ya Uingereza Manchester City wamekabidhiwa kombe na nani?

Ni makosa makubwa timu ya Taifa ya vijana ambayo ni ya Watanzania wote, sherehe zake kuzichanganya na klabu ya Simba, huu ni ujinga usiovumilika.
 
hii ni mupya duniani kote, labda kocha moya wa timu ya taifa atatangazwa, fedha tunazo!
 
Yanga roho inawauma hongeren Simba kwa ubingwa tena bila kufungwa
 
Yaani simba wanaroho mbaya hadi mto msimbazi wameamua kuupitishia kwenye eneo LA yanga na huwa unamwaga kwenye uwanja wao Kaunda unakua kama bwawa LA samaki na leo wanapewa kombe na presdaa

Acheni roho mbaya simba
Hahahahah
 
Hili kombe la VPL ni dogo sana.
Dar es Salaam Young Africans ambao wamechukua kombe mara nyingi kuliko Simba na mara ya mwisho wakalichukua kwa miaka minne mfululizo, hawajawahi kumwita hata katibu kata kwenda kuwakabidhi.
Rais aliyepita alikuwa Yanga damu lakini hajawahi kualikwa na wanayanga kwenda kukabidhi kombe.
Kifalsafa hii ya Rais kwenda kukabidhi kombe la VPL ambalo linashindaniwa kila mwaka na lazima timu moja ya Tanzania ishinde halijakaa vizuri.
Je mwakani Singida united wakichukua kombe ataitwa Rais kuja kukabidhi?
TFF wanatengeneza' precedence ' ambayo inaweza kuchafua hali ya hewa baadaye kwa timu zingine kuheshimawa zaidi kwa sababu ya unazi na zingine kudharauliwa.
Hayati Mwalimu Nyerere kwa wale wasoi jua Historia alipewa kadi namba moja Yanga lakini hadi anafariki hajawahi kuonyesha dalili ya unazi wake Yanga.
Siasa za Inchi hii zilianzia kwenye vilabu vya mpira wa miguu na hasa Yanga.
Harakati za kuikomboa Inchi toka kwa Wakoloni zilianzia Yanga.
Simba ilikuwa ya Wahindi na Waarabu (angalia rangi zao).
Kuna siku moja mshabiki wa SIMBA alimwendea Nyerere na kumwomba awaambie Yanga wabadili rangi ya jezi zao kwa sababu zinafanana na za TANU. Nyerere alimwambia , wewe mjinga sana, Yanga tuliwakuta na rangi zao, labda ungeniomnba sisi TANU tubadili rangi zetu.
Ingefaa sana kama Simba wangeshinda kombe la Africa ingekuwa haki Serikali yote kuhamia Uwanja wa taifa kupokea kombe.
Unaweza kuigawa inchi kwa kiongozi mkuu kushabikia klabu za mpira kwani ushabiki wa mbira ni tabaka sawa na matabaka ya Dini, kabila au hata vyama vya Siasa.
Wewe ni zezeta Rais alialikwa hapo kwa ajili ya makombe mawili lile la timu ya taifa ya watoto wasiojiweza na ile ya Serengeti boyz waliyochukuwa baada ya kuchukua kombe kule Burundi nadhani hii ya Simba imetokea tu juu kwa wakaamua kumuomba nayo aunganishe ila sijaona ubaya wowote kwenye hilo mambo ya siasa kwenye mpira hakuna usituletee siasa kwenye mpira wetu acheni uzezeta nyiye watu wa manyumbu
 
Yanga roho inawauma hongeren Simba kwa ubingwa tena bila kufungwa
Wewe upo nchi gani? Simba imeshapigwa kidude na Okwi penati yake imepanguliwa na Juma Kaseja.

Kagera 1 Simba 0.

There is only one Kaseja.
 
Wewe ni zezeta Rais alialikwa hapo kwa ajili ya makombe mawili lile la timu ya taifa ya watoto wasiojiweza na ile ya Serengeti boyz waliyochukuwa baada ya kuchukua kombe kule Burundi nadhani hii ya Simba imetokea tu juu kwa wakaamua kumuomba nayo aunganishe ila sijaona ubaya wowote kwenye hilo mambo ya siasa kwenye mpira hakuna usituletee siasa kwenye mpira wetu acheni uzezeta nyiye watu wa manyumbu
"Ndondo cup ikichukua kombe la afrika nitakuja kuwakabidhi".
Rais mnae aiseee yaan jamaa sijui kipi anakifaham
 
Leo atagawa na mapapai pia?
Ikiwa atagawa basi wadau mnistue niwahi taifa nami nijumuike.
 
Simba mmebebwa saana hadi raisi kawaambia mnacheza mpira mboovuuu ...penalty ya Okwi mbele ya raisi ni aibu ..TFF mjitathimini ....
 
Hata
Hili kombe la VPL ni dogo sana.
Dar es Salaam Young Africans ambao wamechukua kombe mara nyingi kuliko Simba na mara ya mwisho wakalichukua kwa miaka minne mfululizo, hawajawahi kumwita hata katibu kata kwenda kuwakabidhi.
Rais aliyepita alikuwa Yanga damu lakini hajawahi kualikwa na wanayanga kwenda kukabidhi kombe.
Kifalsafa hii ya Rais kwenda kukabidhi kombe la VPL ambalo linashindaniwa kila mwaka na lazima timu moja ya Tanzania ishinde halijakaa vizuri.
Je mwakani Singida united wakichukua kombe ataitwa Rais kuja kukabidhi?
TFF wanatengeneza' precedence ' ambayo inaweza kuchafua hali ya hewa baadaye kwa timu zingine kuheshimawa zaidi kwa sababu ya unazi na zingine kudharauliwa.
Hayati Mwalimu Nyerere kwa wale wasoi jua Historia alipewa kadi namba moja Yanga lakini hadi anafariki hajawahi kuonyesha dalili ya unazi wake Yanga.
Siasa za Inchi hii zilianzia kwenye vilabu vya mpira wa miguu na hasa Yanga.
Harakati za kuikomboa Inchi toka kwa Wakoloni zilianzia Yanga.
Simba ilikuwa ya Wahindi na Waarabu (angalia rangi zao).
Kuna siku moja mshabiki wa SIMBA alimwendea Nyerere na kumwomba awaambie Yanga wabadili rangi ya jezi zao kwa sababu zinafanana na za TANU. Nyerere alimwambia , wewe mjinga sana, Yanga tuliwakuta na rangi zao, labda ungeniomnba sisi TANU tubadili rangi zetu.
Ingefaa sana kama Simba wangeshinda kombe la Africa ingekuwa haki Serikali yote kuhamia Uwanja wa taifa kupokea kombe.
Unaweza kuigawa inchi kwa kiongozi mkuu kushabikia klabu za mpira kwani ushabiki wa mbira ni tabaka sawa na matabaka ya Dini, kabila au hata vyama vya Siasa.
Hata hivyo wametobolewa Tundu moja, hata Mh. Kawapa makavu live bila chenga walivyo weupe kabisa kwenye soka la kisasa. Record imeandikwa n'a haifutiki, kufungwa mara ya pili mbele y'a mkuu wa nchi.
 
Back
Top Bottom