Wakati tunasoma hivyo vyote tulivifanya..Kindergarten china wanafundishwa kushona, kupika, kutengeneza keki
Sisi hata viwanja vya michezo hatuna mmeviuza vyote
Lugha huh sawa
Lugha bila skills
Mfano wewe hapo una ujuzi umesoma secretarial services ndiyo maana upo hapo UWT Wilaya unapata kipato na wala hujaajiriwa kwa sababu ya lugha. HongeraHunaga adabu kabisa wewe.
Watoto sahv uzinzi ,kukata uno kukariri miziki ndicho wanachojuwaNi aibu hata kuyaongelea kwa kweli
Ataenda na lugha nje ili iweje kama hajui hata kugonga msumari
Shahawa nyingine heri zingemwagwa nje tuNdugu zangu Watanzania,
Haya ni maneno ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu HasssanView attachment 3105313View attachment 3105314
Kazi iendelee.Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Rais hapa kachemkaNdugu zangu Watanzania,
Haya ni maneno ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu HasssanView attachment 3105313View attachment 3105314
Kazi iendelee.Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Acha mawazo ya kitotoCCM imezoea kuomba omba anataka lugha ya kwenda kuomba China
Uongo?Acha mawazo ya kitoto
Mungu akusamehe sanaShahawa nyingine heri zingemwagwa nje tu
Poor parental monitoringWatoto sahv uzinzi ,kukata uno kukariri miziki ndicho wanachojuwa
Ova
Badala ya kutuma vijana wakajifunze ufundi nje hizi lugha kwa kijana anahifunza huku akijifunza vitu vingineCCM imezoea kuomba omba anataka lugha ya kwenda kuomba China
Kwa nyie ni kufagia Choo tuKwani nje ya nchi wote wanakwenda kugonga misumari tu?
Maza ni mswahiliBadala ya kutuma vijana wakajifunze ufundi nje hizi lugha kwa kijana anahifunza huku akijifunza vitu vingine
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan akiweka Jiwe la Msingi katika Mradi wa Maji Mtyangimbole Songea Mkoani Ruvuma, leo tarehe 24 Septemba, 2024, amempa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuhakikisha maji yanapatikana ndani ya miezi mitatu.