Rais Dkt. Samia awasili Harare Zimbabwe

Rais Dkt. Samia awasili Harare Zimbabwe

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Matukio mbalimbali ya kuwasili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Robert Mugabe, Harare nchini Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika leo tarehe 31 Januari, 2025.

IMG-20250131-WA0138.jpg
IMG-20250131-WA0136.jpg
IMG-20250131-WA0137.jpg
 
Matukio mbalimbali ya kuwasili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Robert Mugabe, Harare nchini Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika leo tarehe 31 Januari, 2025.
 

Attachments

  • GinPf7WW4AAoao8.jpeg
    GinPf7WW4AAoao8.jpeg
    1.1 MB · Views: 3
  • GinPfKdW4AAZieN.jpeg
    GinPfKdW4AAZieN.jpeg
    1.1 MB · Views: 2
  • GinPd6dXwAE_mYz.jpeg
    GinPd6dXwAE_mYz.jpeg
    759.7 KB · Views: 3
  • GinPdUkWIAA_sTX.jpeg
    GinPdUkWIAA_sTX.jpeg
    935.8 KB · Views: 4
Matukio mbalimbali ya kuwasili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Robert Mugabe, Harare nchini Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika leo tarehe 31 Januari, 2025.
Kuna haja ya kwenda Zimbabwe kwenye kikao cha dharura na Airbus 360 kweli!
 
Back
Top Bottom