Rais Dkt. Samia awasili Harare Zimbabwe

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Matukio mbalimbali ya kuwasili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Robert Mugabe, Harare nchini Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika leo tarehe 31 Januari, 2025.

 
Matukio mbalimbali ya kuwasili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Robert Mugabe, Harare nchini Zimbabwe kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika leo tarehe 31 Januari, 2025.
 

Attachments

  • GinPf7WW4AAoao8.jpeg
    1.1 MB · Views: 3
  • GinPfKdW4AAZieN.jpeg
    1.1 MB · Views: 2
  • GinPd6dXwAE_mYz.jpeg
    759.7 KB · Views: 3
  • GinPdUkWIAA_sTX.jpeg
    935.8 KB · Views: 4
Kuna haja ya kwenda Zimbabwe kwenye kikao cha dharura na Airbus 360 kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…