sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,640
- 11,680
Ngome ya CUF hiyo. Hao wametolewa shule wamepewa tisheti na mabango. Si unaona watoto wa shule hao.Ngome ya CCM hiyo tunajua anyway tusubiri 2025.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngome ya CUF hiyo. Hao wametolewa shule wamepewa tisheti na mabango. Si unaona watoto wa shule hao.Ngome ya CCM hiyo tunajua anyway tusubiri 2025.
Ccm hawahangaiki na wajinga..huko wakipewa kanga na chumvi shughuli imeisha.Ni mda sasa wakuwakumbuka kusini siku zote wamekuwa watiifu sana Kwa chama na Serikali Barabara zao bado za kizamani, bandari zao ziboreshwe,mifumo ya elimu Kwa ujumla iwe mizuri,mazao Yao yawanufaishe kama korosho na Ufuta Serikali muwakumbuke