Rais Dkt. Samia: Hashiriki wetu hawafanyi vizuri Olimpiki kwa kuwa watuna maandalizi mazuri

Rais Dkt. Samia: Hashiriki wetu hawafanyi vizuri Olimpiki kwa kuwa watuna maandalizi mazuri

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiweka Jiwe la Msingi Suluhu Sports Academy Mkunguni- Kizimkazi Zanzibar, leo tarehe 22 Agosti, 2024.

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kushindwa kufanya vizuri katika michezo mbalimbali ikiwemo Olimpiki kunatokana kukosekana kwa maandalizi mazuri ikiwemo kuwekwa sehemu sahihi kufundishwa mbinu tofauti.

Amesema hayo baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Suluhu Sports Academy Mkunguni - Kizimkazi Zanzibar, leo tarehe 22 Agosti, 2024.

Agosti 16, 2024, Madau wa JamiiForums.com alisema “Watanzania hatufanyi vizuri kwa kuwa hakuna maandalizi mazuri, pia Viongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) wameongoza kwa zaidi ya Miaka 20 bila medali ya Olimpiki, wanatakiwa kuwajibika kwa kuachia nafasi kwa wengine.”

Pia soma ~ Kwani Serikali inamuogopa Bayi na wenzake? Hatupati Medali Olimpiki kutokana na makandokando ya Viongozi wa juu wa TOC
 
Kula bata chura una baya!! Watanganyika watajibebe
 
Haki itendeke kwa masai wa ngoroñgoro kama kizimķazi wanavyopewa kipaumbeĺe.
 
Hiyo kazi ingefanywa na mwenyekiti wa baraza la michezo ingeleta athari gani?
 
Kama ilivyotokea kwenye ule uwanja wa ndege wa Chato, CRDB Bank ya Chato, taa za kuongozea magari za Chato, nk. Na hizo takataka nazo zinazoanzishwa huko Kizimkazi kwa sababu za kujipendekeza; muda wake wa kujifia kifo cha mende ukiwadia; zitakufa tu.
 
Back
Top Bottom