Rais Donald Trump aanza vibaya kampeni huko Oklahoma, ashindwa kujaza uwanja wa watu 19,000. Avilaumu vyombo vya habari na waandamanaji

Rais Donald Trump aanza vibaya kampeni huko Oklahoma, ashindwa kujaza uwanja wa watu 19,000. Avilaumu vyombo vya habari na waandamanaji

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Rais wa Marekani, Donald Trump amefanya kampeni yake ya kwanza tangu kuanza kwa mlipuko wa CoronaVirus ambapo watu wachache wamejitokeza

Mapema wiki hii, Rais Trump alisema watu takriban Milioni 1 wamenunua tiketi za kampeni hiyo iliyofanyika Tulsa, Oklahoma lakini uwanja unaomudu watu takriban 19,000 umeonekana ukiwa na watu wachache

Haijafahamika kwanini kulikuwa na watu wachache kuliko ilivyotarajiwa. Kumekuwa na wasiwasi kuhusu mikusanyiko wakati wa mlipuko wa COVID19

Trump alizungumza kwa takriban masaa mawili na kuwaita waliokuwepo uwanjani hapo mashujaa. Amevitupia lawama vyombo vya habari na waandamaji akisema wamesababisha wanaomuunga mkono wasihudhurie

====

US President Donald Trump has held his first campaign rally since the US coronavirus lockdown began, in front of a smaller than expected crowd.

Mr Trump had boasted earlier this week that almost a million people had requested tickets for the event at Tulsa's Bank of Oklahoma Center.

But the 19,000-seat arena was far from full and plans for him to address an outside "overflow" area were abandoned.

There had been concerns about holding the rally during the pandemic.

Coronavirus was one issue Mr Trump touched on in his wide-ranging, almost two-hour-long speech to cheering supporters in Oklahoma, a Republican heartland.

Mr Trump said he told officials to slow down Covid-19 testing because so many cases were being detected, in remarks later described as a joke.

Those attending the rally had to sign a waiver protecting the Trump campaign from responsibility for any illness. Hours before the event began, officials said six staff members involved in organising the rally had tested positive.

However, it is unclear why attendance was lower than initially anticipated. Mr Trump referred to those in the stadium as "warriors", while blaming the media and protesters for keeping supporters away. There were some volatile scenes outside the venue but no serious trouble was reported.

Mr Trump's re-election campaign event was one of the biggest indoor gatherings held in the US since the country's Covid-19 outbreak began, and came at a time when Oklahoma is seeing a rise in confirmed cases.

More than 2.2 million cases of Covid-19 and 119,000 associated deaths have been reported in the US, according to data from Johns Hopkins University.

What did Trump say?
In his opening remarks, Mr Trump said there had been "very bad people outside, they were doing bad things", but did not elaborate. Black Lives Matter activists were among the counter-protesters to gather outside the venue before the event.

On the coronavirus response, Mr Trump said he had encouraged officials to slow down testing because it led to more cases being discovered. He described testing as a "double-edged sword".

"Here is the bad part: When you do testing to that extent, you are going to find more people, you will find more cases," he told the cheering crowd. "So I said 'slow the testing down'. They test and they test."

The coronavirus, Mr Trump said, had many names, including "Kung Flu", a xenophobic term that appears to be a reference to China, where Covid-19 originated.

Almost 120,000 people have died with Covid-19 in the US since the pandemic began, a number that health experts say could have been much higher had testing not been ramped up. Testing, health officials say, is important to understand where and how widely coronavirus is spreading, and therefore prevent further deaths.

A White House official later said the president was "obviously kidding" about Covid-19 testing.

Taking aim at his Democratic presidential rival, Mr Trump described Joe Biden as "a helpless puppet of the radical left".

The president also struck a combative tone when he touched on anti-racism protests - and the toppling of statues - which began after the killing of an unarmed black man, George Floyd, by police in Minneapolis.

"The unhinged left-wing mob is trying to vandalise our history, desecrate our monuments - our beautiful monuments - tear down our statues and punish, cancel and persecute anyone who does not conform to their demands for absolute and total control. We're not conforming," he told the crowd.

Source: Trump holds low turnout rally amid virus fears
 
Hamna cha lockdown,social distance,wala barakoa ni mwendo wa ziro distance alafu hata hiyo lockdown sijui imeishia wapi.Wale wana harakati si waoni hapa kabisa..............yule balozi wao nae sijui anasemaje kuhusu huu mkutano wa Trump.
 
Rais wa Marekani, Donald Trump amefanya kampeni yake ya kwanza tangu kuanza kwa mlipuko wa CoronaVirus ambapo watu wachache wamejitokeza

Mapema wiki hii, Rais Trump alisema watu takriban Milioni 1 wamenunua tiketi za kampeni hiyo iliyofanyika Tulsa, Oklahoma lakini uwanja unaomudu watu takriban 19,000 umeonekana ukiwa na watu wachache

Haijafahamika kwanini kulikuwa na watu wachache kuliko ilivyotarajiwa. Kumekuwa na wasiwasi kuhusu mikusanyiko wakati wa mlipuko wa COVID19

Trump alizungumza kwa takriban masaa mawili na kuwaita waliokuwepo uwanjani hapo mashujaa. Amevitupia lawama vyombo vya habari na waandamaji akisema wamesababisha wanaomuunga mkono wasihudhurie

====

US President Donald Trump has held his first campaign rally since the US coronavirus lockdown began, in front of a smaller than expected crowd.

Mr Trump had boasted earlier this week that almost a million people had requested tickets for the event at Tulsa's Bank of Oklahoma Center.

But the 19,000-seat arena was far from full and plans for him to address an outside "overflow" area were abandoned.

There had been concerns about holding the rally during the pandemic.

Coronavirus was one issue Mr Trump touched on in his wide-ranging, almost two-hour-long speech to cheering supporters in Oklahoma, a Republican heartland.

Mr Trump said he told officials to slow down Covid-19 testing because so many cases were being detected, in remarks later described as a joke.

Those attending the rally had to sign a waiver protecting the Trump campaign from responsibility for any illness. Hours before the event began, officials said six staff members involved in organising the rally had tested positive.

However, it is unclear why attendance was lower than initially anticipated. Mr Trump referred to those in the stadium as "warriors", while blaming the media and protesters for keeping supporters away. There were some volatile scenes outside the venue but no serious trouble was reported.

Mr Trump's re-election campaign event was one of the biggest indoor gatherings held in the US since the country's Covid-19 outbreak began, and came at a time when Oklahoma is seeing a rise in confirmed cases.

More than 2.2 million cases of Covid-19 and 119,000 associated deaths have been reported in the US, according to data from Johns Hopkins University.

What did Trump say?
In his opening remarks, Mr Trump said there had been "very bad people outside, they were doing bad things", but did not elaborate. Black Lives Matter activists were among the counter-protesters to gather outside the venue before the event.

On the coronavirus response, Mr Trump said he had encouraged officials to slow down testing because it led to more cases being discovered. He described testing as a "double-edged sword".

"Here is the bad part: When you do testing to that extent, you are going to find more people, you will find more cases," he told the cheering crowd. "So I said 'slow the testing down'. They test and they test."

The coronavirus, Mr Trump said, had many names, including "Kung Flu", a xenophobic term that appears to be a reference to China, where Covid-19 originated.

Almost 120,000 people have died with Covid-19 in the US since the pandemic began, a number that health experts say could have been much higher had testing not been ramped up. Testing, health officials say, is important to understand where and how widely coronavirus is spreading, and therefore prevent further deaths.

A White House official later said the president was "obviously kidding" about Covid-19 testing.

Taking aim at his Democratic presidential rival, Mr Trump described Joe Biden as "a helpless puppet of the radical left".

The president also struck a combative tone when he touched on anti-racism protests - and the toppling of statues - which began after the killing of an unarmed black man, George Floyd, by police in Minneapolis.

"The unhinged left-wing mob is trying to vandalise our history, desecrate our monuments - our beautiful monuments - tear down our statues and punish, cancel and persecute anyone who does not conform to their demands for absolute and total control. We're not conforming," he told the crowd.

Source: Trump holds low turnout rally amid virus fears
Shida ya Trump anashindaga tu .. kura ziwe chache au watu wa chache ..yeye huwa anashindaga tu... Nilisikia mahala wanasema Trump alipata mafunzi kwa Wakumfunzi kutoka CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uchaguzi utakuwa mgumu Sana kwa Trump, huenda akashinda ila kwa juhudi kubwa.
 
Hadi nimemuonea huruma,,ujue wiki moja nyuma alitamba kuwa watahudhulia watu milioni moja,ule ukumbi unachukua watu 20,000,sasa mpaka jana tiketi zimechukuliwa za 800,000,
Mpaka hapo ina maana ukumbi unge overflow,sasa wakajenga jukwaa jingine nje ya ukumbi,ili trump akimaliza kuhutubia ndani,atoke pia nje,
Kumbe huko US kuna vikundi vya wapwa,wanajiita Tiktok teen na KPOP stan,,hawa ni vijana teenager,au generation Z,walijiorganise wakanunua tiketi kibao kisha hawakwenda,,ili tu kumharibia,
Matokeo hata huo ukumbi wameingia watu 6500 tu,out of idadi iliyotarajiwa ya watu milioni 1
 
Hamna cha lockdown,social distance,wala barakoa ni mwendo wa ziro distance alafu hata hiyo lockdown sijui imeishia wapi.Wale wana harakati si waoni hapa kabisa..............yule balozi wao nae sijui anasemaje kuhusu huu mkutano wa Trump.
Yale maandamano baada ya kifo cha George; hivi walizingatia social distance?
 
Mapema wiki hii, Rais Trump alisema watu takriban Milioni 1 wamenunua tiketi za kampeni hiyo iliyofanyika Tulsa, Oklahoma lakini uwanja unaomudu watu takriban 19,000 umeonekana ukiwa na watu wachach
HAPO TU NAONYESHA KUNA MIJIMATATIZO MIKUBWA !!!

ANASEMA WAMEUZIA WATU TIKETI ZAIDI YA MILIONI 1, WAKATI WANAFAHAMU FIKA UKUMBI UNAMUDU WATU ELFU19 PEKE YAKE!! TUUITE NINI? UDANGANYIFU? ULAGHAI, UTIIPI AU??

Mr Trump had boasted earlier this week that almost a million people had requested tickets for the event at Tulsa's Bank of Oklahoma Center.
AIBU
 
John Kerry anasema kuna uwezekano wa kuzuka "mapinduzi" nchini endapo Trump atashinda Uchaguzi ujao.

Ila Trump ni mtu mwenye kushangaza sana kinyume na wengi wanavyomfikiria na kumtarajia.

Lolote linaweza kutokea! (In Bartholomew Michelangelo's voice)
 
Ningekuwa ndio mimi ningeomba majina ya hao wahudhuriaji wote na nikachapa majina yao kwenye mnara maalum kama mashujaa
 
Back
Top Bottom