Rais Duterte wa Ufilipino Akamatwa, kupelekwa ICC

Rais Duterte wa Ufilipino Akamatwa, kupelekwa ICC

Duterte angeomba ushauri wa polisi wetu ambao mtu akifa utasikia "mtuhumiwa alikuwa akikataa amri halali ya polisi hali iliyofanya polisi kutumia risasi ya moto na kumlenga mguuni ila kwa bahati mbaya mtuhumiwa alifia njiani akikimbizwa hospitali"..... au "Mtuhumiwa alijirusha kutoka kwenye gari lililokuwa kasi"...
Yote hayo aliyajua ila alikuwa anajimwambafy tu.
 
baada ya kupokea ombi kutoka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC).

Kiini cha kesi hii, kina nani walipeleka malalamiko, na vipi wahusika wanapewa kesi kwa uhusika wao wa kukiuka haki za binadamu kuishi :

Information for victims​


Republic of the Philippines​

The situation in the Philippines​

On 24 May 2021, the Prosecutor of the International Criminal Court ("ICC") requested authorisation from the Pre-Trial Chamber I (“PTC I”) to initiate an investigation into crimes allegedly committed on the territory of the Philippines between 1 November 2011 and 16 March 2019 in the context of the Government of the Philippines' "war on drugs" campaign (“Prosecutor’s Request”). On 14 June 2021 the Prosecutor’s Request was made public.
On 15 September 2021, PTC I authorized the investigation. In reaching this Decision, the Judges also took into account the victims’ representations introduced on behalf of approximately 1,530 individual victims and 1,050 families, who overwhelmingly supported the opening of the investigation.
On 18 November 2021, the ICC Prosecutor informed PTC I that the Republic of the Philippines requested, pursuant to Article 18(2) of the Rome Statute, that the investigation into the Philippines situation be deferred (“Deferral Request”).
On 24 June 2022, the ICC Prosecutor submitted a request to resume the investigation into the situation in the Philippines pursuant to article 18(2) (“Prosecutor’s Resumption Request”); the request is available here.
On 26 January 2023, the Pre-Trial Chamber issued its decision authorizing the Prosecutor to resume the investigation into the Philippines Situation, pursuant to article 18(2) of the Statute (“Article 18(2) Decision”). The Judges considered the eight collective victim representations submitted on behalf of 293 individuals and 366 families, who all supported the Prosecutor’s request to resume the investigation.
On 6 February 2023, the Government of the Philippines appealed the Article 18(2) Decision (“Philippines’ Appeal”) and, on 13 March 2023 their appeal brief was filed.
On 18 July 2023, the Appeals Chamber confirmed, by majority, the authorisation given by the Pre-Trial Chamber to the ICC Prosecutor to resume investigations in the Philippines situation. The majority, composed of Judges Piotr Hofmański, Luz del Carmen Ibáñez Carranza and Solomy Balungi Bossa, dismissed all the grounds of appeal invoked by the Government of the Philippines. In doing so, they also took into account the views and concerns expressed on behalf of 350 individual victims and 165 families, who unanimously urged the Appeals Chamber to confirm the Article 18(2) Decision. Two Judges of the Appeals Chamber, Marc Perrin de Brichambaut and Gocha Lordkipanidze, issued a dissenting opinion.
What is the scope of the investigation into the Philippines Situation?
The ICC Judges authorized the commencement of the investigation into the Situation in the Philippines in relation to crimes within the jurisdiction of the Court allegedly committed on the territory of the Philippines between 1 November 2011 and 16 March 2019 in the context of the so-called ‘War on Drugs’ campaign. The Judges of Pre-Trial Chamber I ruled that there is a reasonable basis to believe that the crime against humanity of murder appears to have been committed and further noted reports of torture and inhumane acts, imprisonment or other severe deprivation of liberty, enforced disappearance and sexual violence. The Judges authorised the OTP to investigate such other crimes, as long as they remain within the parameters of the authorised investigation
 
Waathirika waliokumbwa na kadhia ya mkono wa chuma wa watawala wanaweza vipi kuwasiliana na korti hii ya ICC The Hague ya Umoja wa Mataifa

1741700640923.jpeg


Victims’ participatory rights and communication with the Court

The ICC is the first permanent international criminal court which envisages an active role for victims in judicial proceedings. Victims can address the Court already during an investigation by the Prosecutor, with a view to their right to participate in potential judicial proceedings at the Situation stage and/or in potential future cases and their right to receive reparations in case of a conviction.

At the current investigation stage, victims can communicate with the Court in a number of ways:

  • Any individual, group or State can send information to the Office of the Prosecutor regarding any alleged crimes committed in the Philippines and falling under the jurisdiction of the Court. Persons with such information, including affected communities of the situation, can communicate to the Office of the Prosecutor any relevant information for the purposes of the investigation on the following dedicated portal.
  • Victims of crimes falling within the scope of the Philippines Situation may also reach out to the Court with a view to being recognized as victims for the purpose of participation in potential judicial proceedings at the Situation stage and/or in potential future cases against one or more suspects. For more information about victims’ rights before the ICC, victims can contact the Victims Participation and Reparations Section (“VPRS”) - the section within the ICC Registry responsible for assisting victims in the process of applying for participation in judicial proceedings, and reparations in case of a conviction, at VPRS.information@icc-cpi.int.
 
Wasiojulikana walivyoendasha kampeni ya mkono wa chuma chini ya utawala wa rais Rodrigo Duterte:

View: https://m.youtube.com/watch?v=qugduxazBBg
Dokumentari "Kwa Maagizo ya Rais" - kurunzi kali, habari za kiuchunguzi kufuatilia kampeni mbaya ya Rais Rodrigo Duterte dhidi ya washukiwa wa wauzaji na watumiaji wa dawa za kulevya nchini Ufilipino. "Kwa Maagizo ya Rais" yaani amri kutoka juu, kwa kuguswa polisi wenyewe wanatoboa siri na wanabainisha kampeni hiyo iliyokiuka haki za kibinadamu na zile za mfumo wa Haki Jinai zilivyokiukwa na hata Polisi wenyewe kusikia maumivu rohoni hivyo kuamua kutoboa siri :

"On the President's Orders" - A searing, on-the-ground look at President Rodrigo Duterte's deadly campaign against suspected drug dealers and users in the Philippines."On the President's Orders" is told with unprecedented access to the police themselves. It offers a gripping, visually stunning window into the war on drugs — those carrying it out, and those most impacted by it.
 
Ofisi ya Rais wa Ufilipino imeripoti kukamatwa kwa Rais wa zamani wa nchi hiyo, Rodrigo Duterte, baada ya kupokea ombi kutoka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC).

Duterte alikamatwa Jumanne katika Uwanja wa Ndege wa Manila alipowasili kutoka Hong Kong, kwa mujibu wa serikali ya Ufilipino.

Duterte anakabiliwa na tuhuma za “uhalifu dhidi ya ubinadamu” kutokana na kampeni kali ya kupambana na Dawa ya kulevya wakati wa uongozi wake.

Kulingana na hati ya kukamatwa, kampeni yake maarufu kama “vita dhidi ya dawa ya kulevya”, alipokuwa Rais kutoka 2016 hadi 2022, iliwanyima washukiwa “haki ya mchakato wa kisheria” na ilisababisha vifo vya maelfu ya watu, wakiwemo watoto.

Akijitetea dhidi ya ripoti za uwezekano wa kukamatwa kwake, Duterte hapo awali alisema kuwa alifanya “kila kitu…kwa ajili ya watu wa Ufilipino”.
mauajk tumeyaona hapa Tz , Bi Ushungi ajiandae kbs
 
Walio okolewa watoto wao wasiingie kwenye madawa ya kulevya, ndio leo wanaoshangilia kukamatwa.
 
11 March 2025
Villamor Airbase, PH

IMETHIBITISHWA SASA NDEGE INAYOMCHUKUA MSHUKIWA DUTERTE IMESHAONDOKA KUELEKEA THE HAGUE UHOLANZI

View: https://m.youtube.com/watch?v=OgIVlTtNRXk

Rais Marco Junior wa Philippines amethibitisha kuwa rais wa zamani Duterte baada ya kushikiliwa kwa muda na mamlaka ya serikali ya The Philippines ili ijiridhishe kuipitia kwa umakini hati ya Interpol ya kumkamata Duterte kama imekidhi vigezo vyote vya kisheria vya taifa la the Philippines pia vigezo vya kimataifa.

Baada ya kutimiza zoezi hilo la kuipitia hati ya kumkamata ya Interpol kama ziko vizuri, na kuridhika ipo sawa, baadaye mamlaka za The Philippines ikahakikisha inampa haki zote za kiraia rais mstaafu Duterte ya nafasi ya kuonana na mkewe mpendwa pia kuagana na familia kabla ya kupandishwa ndege kwenda ICC Hague ..

Rais Marcos Junior alipohojiwa baada ya kuthibitisha kuwa Duterte ameondoka katika anga la ndege la the Philippines kuwa kupelekwa kwa Duterte hadi Mahakama ya Kimataifa ya The ICC kama ni mbinu ya kisiasa kumuondosha Duterte nchini The Philippines.

Rais Marcos Junior amesema hilo siyo kweli kwamba wamemtosa mpinzani wao Duterte, bali ni sehemu ya kuhakikisha haki inapatikana kupitia mfumo wa haki jinai ya kimataifa kwa pande zote mbili yaani upande wa rais mstaafu Duterte anayeshutumiwa, na upande mwingine wale walalamikaji raia wa the Philippines waliowasilisha malalamiko yao Mahakama ya Kimataifa Dhidi ya Uhalifu ya ICC The Hague Uholanzi.
 
Huyu alikuwa Hana cha msalia mtume, ukikamatwa unapigwa shaba, Wahuni wengi wa ngada walikula chuma tu. Yaani ilikuwa ni kama operesheni ya kukamata mbwa Koko mtaani ukimuona tu mlie timing mkamate mpige chuma.
 
Unafiki tu ,muuaji wa kimbari Netanyau na genge lake mbona hakamatwi ?
Pumbavu sana hii ICC ,Taasisi isiyo na independent decision na power na misimamo ni upuuzi
 
Huku kwetu Tanzania inabidi raia nao wakomae kutafuta haki zao kwa kupeleka malalamiko korti hii ya ICC The Hague Mahakama ya Kimataifa Inayochunguza Matendo ya Ukatili ili watuhumiwa kama watu wasiojulikana wapotezaji watu, watupa watu porini, watekaji, wanaomiminia watu risasi bila kuwafikisha raia vituo vya Polisi washughulikiwe.
 
Inabidi rais wetu mpendwa mheshimiwa rais Dr. Samia Suluhu Hassan aongeze mbinyo (pressure) vyombo vya dola kuwabaini na kuwafikisha watu wasiojulikana mbele ya vyombo vya sheria ili haki itendeke nchini

1741714509324.jpeg

Hatujaona faili la uchunguzi kuhusu waliohusika kumteka na kumshambulia Mzee Ali Mohamed Kibao, Soka, Sativa, Tundu Lissu n.k kwa kuwataja wachache.

Rais wetu mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama ahimize taarifa za maendeleo ya uchunguzi wa matukio ya kusikitisha zinahitimishwa na kwa uwazi haki itendeke...

1741714854618.jpeg


For more information about victims’ rights before the ICC, victims can contact the Victims Participation and Reparations Section (“VPRS”) - the section within the ICC Registry responsible for assisting victims in the process of applying for participation in judicial proceedings, and reparations in case of a conviction, at VPRS.information@icc-cpi.int.
 
Inabidi rais wetu mpendwa mheshimiwa rais Dr. Samia Suluhu Hassan aongeze mbinyo (pressure) vyombo vya dola kuwabaini na kuwafikisha watu wasiojulikana mbele ya vyombo vya sheria ili haki itendeke nchini

View attachment 3267117
Hatujaona faili la uchunguzi kuhusu waliohusika kumteka na kumshambulia Mzee Ali Mohamed Kibao, Soka, Sativa, Tundu Lissu n.k kwa kuwataja wachache.

Rais wetu mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama ahimize taarifa za maendeleo ya uchunguzi wa matukio ya kusikitisha zinahitimishwa na kwa uwazi haki itendeke...

View attachment 3267118

For more information about victims’ rights before the ICC, victims can contact the Victims Participation and Reparations Section (“VPRS”) - the section within the ICC Registry responsible for assisting victims in the process of applying for participation in judicial proceedings, and reparations in case of a conviction, at VPRS.information@icc-cpi.int.

FAMILIA ZA WAHANGA WA KILICHOITWA VITA DHIDI YA MADAWA YA KULEVYA, WASHUKURU DUTERTE KUKAMATWA

View: https://m.youtube.com/watch?v=b7WGAXFK5i0
Familia wa wahanga huku wakishikilia picha za wapendwa wao 'waliopotezwa' Wakutana na kuendesha misa ya mkesha kushukuru hatua hii ya mwanzo iliyofikiwa kutafuta haki kwa waliouliwa wakati wa utawala wa rais wa zamani Duterte.
 
Back
Top Bottom