Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa atua nchini, apokelewa na Rais Kenyatta

Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa atua nchini, apokelewa na Rais Kenyatta

Kumbe kuna Marais wengine pia wamo nchini, ata nilikua sijui

Rais wa Madagascar
D1nBBAbWkAA7kt2.jpg


D1sYLNVW0AEchBf.jpg



Rais wa Sli-Lanka
D1s9hd7W0AAmIXj.jpg




Mjumbe maalum wa rais Putin (Russian Special Envoy for MiddleEast And Africa) naye alikuja na ujumbe kutoka kwa Putin!!

D1tHGUaWkAEqS6G.jpg


Wakijadiliana na Waziri wa Kenya wa maswala ya nje ----- (Hapo lazima Putin alialikwa aje atembee Africa angalau)

D1rcge4W0AA4Cs0.jpg
 
Kumbe kuna Marais wengine pia wamo nchini, ata nilikua sijui

Rais wa Madagascar
D1nBBAbWkAA7kt2.jpg


D1sYLNVW0AEchBf.jpg



Rais wa Sli-Lanka
D1s9hd7W0AAmIXj.jpg




Mjumbe maalum wa rais Putin (Russian Special Envoy for MiddleEast And Africa) naye alikuja na ujumbe kutoka kwa Putin!!

D1tHGUaWkAEqS6G.jpg


Wakijadiliana na Waziri wa Kenya wa maswala ya nje ----- (Hapo lazima Putin alialikwa aje atembee Africa angalau)

D1rcge4W0AA4Cs0.jpg
Huyu wa Madagascar nilijua ila wa Sri-Lanka na mrusi sikujua. Dah, rais Uhuru Kenyatta yupo busy kupindukia! Alafu Rais Tshisekedi wa DRC pia nasikia alikuwa Kenya jana.
 
RAIS WA UFARANSA ATUA NCHINI KENYA

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amempokea rais wa Ufaransa Emmanuel Macron nchini humo ikiwa ni mara yake ya kwanza kuzuru afrika mashariki.

Rais Uhuru alimkaribisha Macron ikulu na kushuhudia uzinduzi wa gari aina Peugeot 3008 iliyoundwa nchini Kenya.

Akizungumza Ikulu jijini Nairobi, rais Uhuru amesema anataka kutengeneza taifa linalonunua vitu vilivyotengenzwa nchini humo.

‘‘ ningependa kurudia kuwa ni mpango wa serikali kuhamasisha falsafa ya nunua Kenya, Jenga Kenya .
nategemea taifa zima litakuwa likitumia magari yalioundwa hapa nchini pamoja na vifaa vyake’’ alisema Uhuru Kenyatta.

Aidha, ameongeza kuwa anamatumaini ziara ya kihistoria ya Macron nchini humo itazidisha wawekezaji kutoka Ufaransa pamoja na kuongeza watalii kati ya nchi hizo mbili.

Wakati huo huo, Kiongozi huyo wa Ufaransa amealikwa kuhudhulia maadhimisho ya miaka 25 ya mauaji ya kimbali nchini Rwanda ambayo yamepangwa kufanyika
mwezi ujao April 7.

HAPA NDIO UTAJUA NI BORA VITENDO KULIKO MANENO,WENZETU WAMESHAPIGA HATUA KUBWA SANA..sisi huku bongo tunazurura tuu[emoji16]🙄🙄
View attachment 1046039
View attachment 1046040
View attachment 1046041View attachment 1046042

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia kalalamika sana.
Vipi kaja na yule mke wake yule ajuza?
 
Huyu wa Madagascar nilijua ila wa Sri-Lanka na mrusi sikujua. Dah, rais Uhuru Kenyatta yupo busy kupindukia! Alafu Rais Tshisekedi wa DRC pia nasikia alikuwa Kenya jana.
Mpaka watu Kwa twitter walikua wanaulizana kwani no nini kinaendelea Kati ya Kenya na DRC manake huyu Rais amekua huku Kenya mara mbili ndani ya wiki mbili na alichaguliwa Tu juzi juzi ...
 
Back
Top Bottom