Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa atua nchini, apokelewa na Rais Kenyatta

Kumbe kuna Marais wengine pia wamo nchini, ata nilikua sijui

Rais wa Madagascar





Rais wa Sli-Lanka




Mjumbe maalum wa rais Putin (Russian Special Envoy for MiddleEast And Africa) naye alikuja na ujumbe kutoka kwa Putin!!



Wakijadiliana na Waziri wa Kenya wa maswala ya nje ----- (Hapo lazima Putin alialikwa aje atembee Africa angalau)

 
Huyu wa Madagascar nilijua ila wa Sri-Lanka na mrusi sikujua. Dah, rais Uhuru Kenyatta yupo busy kupindukia! Alafu Rais Tshisekedi wa DRC pia nasikia alikuwa Kenya jana.
 
Nasikia kalalamika sana.
Vipi kaja na yule mke wake yule ajuza?
 
Huyu wa Madagascar nilijua ila wa Sri-Lanka na mrusi sikujua. Dah, rais Uhuru Kenyatta yupo busy kupindukia! Alafu Rais Tshisekedi wa DRC pia nasikia alikuwa Kenya jana.
Mpaka watu Kwa twitter walikua wanaulizana kwani no nini kinaendelea Kati ya Kenya na DRC manake huyu Rais amekua huku Kenya mara mbili ndani ya wiki mbili na alichaguliwa Tu juzi juzi ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…