Rais Farmajo wa Somalia ampigia simu Rais Kenyatta kuomba msamaha masaa machache baada ya kupokea onyo kali kutoka Ikulu ya Kenya

Rais Farmajo wa Somalia ampigia simu Rais Kenyatta kuomba msamaha masaa machache baada ya kupokea onyo kali kutoka Ikulu ya Kenya

Anajua shughuli yetu, na asithubutu siku nyingine. Japo kiaina pamoja na kuomba kwake msamaha, bora akaonyeshwa makucha yetu yalivyokua yamechomoza, maana hii fursa ilikua imejipa ya wazi ya kuikoloni Somalia na kuwapa amani ya kudumu.
Ingekula kwake, angewapa Nyang'au mwanya wa kuwala mzima mzima, tena kiulaiiiniii. Ila rais Farmaajao huwa anazingua sana na huwa hajielewi. Nakumbuka kwenye kampeni za uchaguzi uliopita wasomali walivomuumbua alipojaribu kuwahadaa na Big 4 Agenda. Ambayo ilikuwa ni plagiarism neno kwa neno, agenda kwa agenda kutoka kwa Big 4 Agenda ya rais UK. Jamaa ni wannabe mkubwa sana wa rais Uhuru Kenyatta. [emoji1]
CopyPaste.png
Villa Somalia Shamelessly Plagiarizes Uhuru Kenyatta's 'Big Four' Presenting It As Farmajo's
 
Kwani aliyepeleka kesi ICJ ni nani, kama bahari tayari ni lao? Mbona unajikanganya? Kenya ndio imefanikiwa kudelay kesi mara mbili, mara ya kwanza kwa miezi mitano, ya pili kwa mwaka. Hizo ni tactics za kawaida za kisheria kwenye kila mahakama. Kama unaamini kwamba hayo yote ni kwasababu Kenya haina mawakili basi utakuwa wewe ni lofa kupindukia. Alafu kando na yule jaji ambaye Kenya haimtaki kwenye bench na ambaye anaenda retire kabla ya kesi kuanza tena. Bado kuna ile seat pending ambayo Kenya inataka kupata kwenye UN Security Council. Mahakama ya ICJ ni judicial organ ya UN. Hesabu za 1+1 zinakukanganya mzee? [emoji1]
Hehehe...ICJ sio kibera law courts upeleke tetesi za kijinga -eti 'So & so judge' ni kabila ya msomali sijui blah blah etc..
Hadi leo uhuru anaomba maridhiano nje ya ICJ..
 
Hehehe...ICJ sio kibera law courts upeleke tetesi za kijinga -eti 'So & so judge' ni kabila ya msomali sijui blah blah etc..
Hadi leo uhuru anaomba maridhiano nje ya ICJ..
Kwani nani amepeleka tetesi zozote kuhusu majaji. Kenya imetumia mbinu halali kisheria kupitia motions za kuhairisha kesi hiyo hadi imewadia wakati wa jaji huyo kuenda retire. Pia Kenya imefanikiwa kuhakikisha kwamba kesi ikianza kura kuhusu atakayepata kiti kwenye UN Security Council zitakuwa tayari zimepigwa. Strategies na ushawishi ndio mchezo wenyewe. Jombaa, siutulie tu ufanye risechi kidogo kuhusu kesi hiyo kabla ya kutupia pumba humu kwenye mada ambayo hata haihusu kesi hiyo. Mbona unaruka ruka ovyo ovyo, kwani tumbo lako linakusokota?
 
Kwani nani amepeleka tetesi zozote kuhusu majaji. Kenya imetumia mbinu halali kisheria kupitia motions za kuhairisha kesi hiyo hadi imewadia wakati wa jaji huyo kuenda retire. Pia Kenya imefanikiwa kuhakikisha kwamba kesi ikianza kura kuhusu atakayepata kiti kwenye UN Security Council zitakuwa tayari zimepigwa. Strategies na ushawishi ndio mchezo wenyewe. Jombaa, siutulie tu ufanye risechi kidogo kuhusu kesi hiyo kabla ya kutupia pumba humu kwenye mada ambayo hata haihusu kesi hiyo. Mbona unaruka ruka ovyo ovyo, kwani tumbo lako linakusokota?
Hahaha..Kwanza mlitaka kuingiza hoja za kikabila ICJ..Tetesi zenu zika pigwa chini sasa lazima kesi iendelee..
Leo mnataka jaji kwanza a staafu😂😂😂
Munasahau kuna majaji wa asili ya kibeberu waliopo hapo na nchi zao ndio wamenunua leseni za kuchimba madini baharini muliyo pokonywa..
Yaani kwa mkenya, ukabila ndio hoja kuu kwa kila jambo😆😆😆
 
Hahaha Kwanza mlitaka kuingiza hoja za kikabila ICJ Tetesi zenu zika pigwa chini sasa lazima kesi iendelee Leo mnataka jaji kwanza astaafu Munasahau kuna majaji wa asili ya kibeberu waliopo hapo na nchi zao ndio wamenunua leseni za kuchimba madini baharini muliyo pokonywa...Yaani kwa mkenya, ukabila ndio hoja kuu kwa kila jambo
Hujielewi, pingamizi la Kenya ni NATIONALITY(uraia) wa jaji huyo ambaye ni raia wa SOMALIA sio kabila lake. Acha ushamba, mbona Kenya pia kuna wasomali ambao ni wazawa, raia wa Kenya? Kwahivyo Amina Mohammed alipokuwa waziri wa masuala ya nje alikuwa anaiwakilisha Somalia na sio Kenya? 😕 Hii sasa ni zaidi ya kukosa hoja. 😀
 
Yaani mliamini mkiwa na mjomba wenu Farmaajo kwamba Kenya haina mawakili? [emoji1][emoji1][emoji1] Kuna jaji ambaye Kenya haitaki awe kwenye bench. Kabla ya kesi kuanza atakuwa tayari amekula retire baada ya miaka yake ya kusonga kando kuwadia. Nimekuambia hii ni chess, na nyie ambaye mmezoea kucheza checkers kwenye vilabu mkilewa hamtaelewa hizi moves. 😎 Nakumbuka hapo nyuma kidogo ulisema kwamba wakenya ni majizi eti na wao ndio wanaiba bahari ya Somalia. Leo hii umebadilisha gia angani na unasema kwamba Somalia ndio wanaiba bahari ya Kenya. Matikiti maji huwa mna matatizo sio haba.
Huyo jugde msomali wa ICJ kumbe ako karibu kuretire. Will he retire before June? Kesi yetu inaanza June
 
Hahaha..Kwanza mlitaka kuingiza hoja za kikabila ICJ..Tetesi zenu zika pigwa chini sasa lazima kesi iendelee..
Leo mnataka jaji kwanza a staafu😂😂😂
Munasahau kuna majaji wa asili ya kibeberu waliopo hapo na nchi zao ndio wamenunua leseni za kuchimba madini baharini muliyo pokonywa..
Yaani kwa mkenya, ukabila ndio hoja kuu kwa kila jambo😆😆😆
ICJ has no enforcement capacity and it's orders can be ignored without consequence.
 
Nimeona taarifa nyingi sana humu kuhusu mvutano ambao ulitokea kati ya nchi ya Kenya na Somalia mapema wiki hii.

Ila sijaona taarifa hizo zikipeana picha kamili kuhusu tukio hilo wala kilichofata baada ya rais Uhuru Kenyatta kutoa onyo kwa serikali kuu ya Somalia.

Mgogoro wote ulianza baada ya vikosi vya SNA ya Somalia kushambulia vikosi vya kijeshi vya Jubaland(JSF).

Kwenye mji ya Bulla Hawo, Somalia ambayo imepakana na mji wa Mandera, Kenya mpakani mwa nchi za Kenya na Somalia. Jambo ambalo lilizua taharuki ndani ya mji wa Mandera, Kenya.

Tukio hilo lilichukuliwa na GOK kama uchokozi na ndio maana rais Uhuru Kenyatta akatoa onyo kali kwa serikali kuu ya Somalia.

Masaa machache baada ya onyo hilo rais Farmaajo wa Somalia alimpigia simu rais Uhuru Kenyatta.

Source: kenyans.co.ke
Wayamalize kidiplomasia tu maana vita ya majirani si nzuri kabisa, ingawa watu wengine wanafurahia...
 
Safi sana Matrixx kuna jamaa kwenye uzi huu alikuwa anaulizia picha, za rais Farmaajo na Uhuru wakizungumza kwenye simu. 😀
 
Nimeona taarifa nyingi sana humu kuhusu mvutano ambao ulitokea kati ya nchi ya Kenya na Somalia mapema wiki hii.

Ila sijaona taarifa hizo zikipeana picha kamili kuhusu tukio hilo wala kilichofata baada ya rais Uhuru Kenyatta kutoa onyo kwa serikali kuu ya Somalia.

Mgogoro wote ulianza baada ya vikosi vya SNA ya Somalia kushambulia vikosi vya kijeshi vya Jubaland(JSF).

Kwenye mji ya Bulla Hawo, Somalia ambayo imepakana na mji wa Mandera, Kenya mpakani mwa nchi za Kenya na Somalia. Jambo ambalo lilizua taharuki ndani ya mji wa Mandera, Kenya.

Tukio hilo lilichukuliwa na GOK kama uchokozi na ndio maana rais Uhuru Kenyatta akatoa onyo kali kwa serikali kuu ya Somalia.

Masaa machache baada ya onyo hilo rais Farmaajo wa Somalia alimpigia simu rais Uhuru Kenyatta.

---
On Thursday, March 4, Garowe Online, an independent news outlet based in Somalia was first to report that Farmajo reached out to Kenyatta to resolve tensions between the two nations.

"We, therefore, urge the Federal Government of Somalia, to cease and desist from the unwarranted provocations and focus on managing its internal affairs for the welfare of her people; defeating terrorism; and advancing the cause of peace, security, and stability in the region," a press statement from State House read.

Farmajo and Kenyatta discussed measures to be undertaken in resolving the stalemate and agreed to appoint respective committees to handle the matter diplomatically.

Another point of discussion was ways to jointly work on border security by sending committees from both nations to hold talks on strengthening trade ties between the nations.

Kenyatta and Farmajo also acknowledged that border security was a shared responsibility around a mutual interest and affirmed that security was interconnected. They also agreed that consultations should be held in case of misunderstandings.


Uhuru's statement came in the wake of the March 2, attack that took place in Bulla Hawa in Somalia, which borders Kenya's Mandera town. Somalia National Army (SNA) troops invaded Mandera and engaged in a fierce gunfight with Jubaland forces, leading to deaths and displacement of thousands of people.

After the attack, Mandera Governor Ali Roba directed his county staff to keep away from their offices as he could not guarantee their safety.

The report on Farmajo's call came hours after the governor insisted that Jubaland forces were roaming free in Mandera County.

"Jubaland security forces are moving right inside Mandera town on Bulla Jamhuria Road, near the central chief camp, by the Huduma Center. This is a major threat to the security of Kenyans in Mandera. Our government must move with speed to mitigate this situation or risk more loss of lives," Roba tweeted.

However, Kanze Dena, State House spokesperson, declined to comment on the issue, upon being contacted for comment.

Farmajo's decision to approach Kenyatta is a change of tack from his previous decision to snub calls for talks with Kenya over another row, the Kenya-Somalia maritime border dispute.

On September 26, 2019, in his inaugural United Nations speech, the Somalia president stated that the matter was in court and that the International Court of Justice (ICJ) should be the ultimate arbiter because talks between the two countries had collapsed.

“We are very pleased that the court found that it had jurisdiction to resolve the dispute and that is scheduled for the final hearing for the merit case in November this year,” he stated.

Kenyatta had earlier on affirmed that he was open to other dispute resolution mechanisms, emphasising on dialogue.

“I have always believed and stood my ground that dialogue is the best and amicable way for finding the best and positive solution. This brings us together as opposed to a conflict that pushes away from each other,” Kenyatta suggested.

Source: kenyans.co.ke
Sauti ya Ujerumani wanasema Rais wa Somalia alipiga simu baada ya kushinikizwa afanye hivyo na Rais wa Marekani na sio onyo la Uhuru.

macson
 
Sauti ya Ujerumani wanasema Rais wa Somalia alipiga simu baada ya kushinikizwa afanye hivyo na Rais wa Marekani na sio onyo la Uhuru.

macson
Leta taarifa kamili tuzichambue. Kama ni kweli itakuwa ni freshi zaidi kidiplomasia na kwenye ushirikiano kati ya Kenya na US na pia kuhusu ushawishi wa rais UK na Kenya kimataifa.
 
Nimeona taarifa nyingi sana humu kuhusu mvutano ambao ulitokea kati ya nchi ya Kenya na Somalia mapema wiki hii.

Ila sijaona taarifa hizo zikipeana picha kamili kuhusu tukio hilo wala kilichofata baada ya rais Uhuru Kenyatta kutoa onyo kwa serikali kuu ya Somalia.

Mgogoro wote ulianza baada ya vikosi vya SNA ya Somalia kushambulia vikosi vya kijeshi vya Jubaland(JSF).

Kwenye mji ya Bulla Hawo, Somalia ambayo imepakana na mji wa Mandera, Kenya mpakani mwa nchi za Kenya na Somalia. Jambo ambalo lilizua taharuki ndani ya mji wa Mandera, Kenya.

Tukio hilo lilichukuliwa na GOK kama uchokozi na ndio maana rais Uhuru Kenyatta akatoa onyo kali kwa serikali kuu ya Somalia.

Masaa machache baada ya onyo hilo rais Farmaajo wa Somalia alimpigia simu rais Uhuru Kenyatta.

---
On Thursday, March 4, Garowe Online, an independent news outlet based in Somalia was first to report that Farmajo reached out to Kenyatta to resolve tensions between the two nations.

"We, therefore, urge the Federal Government of Somalia, to cease and desist from the unwarranted provocations and focus on managing its internal affairs for the welfare of her people; defeating terrorism; and advancing the cause of peace, security, and stability in the region," a press statement from State House read.

Farmajo and Kenyatta discussed measures to be undertaken in resolving the stalemate and agreed to appoint respective committees to handle the matter diplomatically.

Another point of discussion was ways to jointly work on border security by sending committees from both nations to hold talks on strengthening trade ties between the nations.

Kenyatta and Farmajo also acknowledged that border security was a shared responsibility around a mutual interest and affirmed that security was interconnected. They also agreed that consultations should be held in case of misunderstandings.


Uhuru's statement came in the wake of the March 2, attack that took place in Bulla Hawa in Somalia, which borders Kenya's Mandera town. Somalia National Army (SNA) troops invaded Mandera and engaged in a fierce gunfight with Jubaland forces, leading to deaths and displacement of thousands of people.

After the attack, Mandera Governor Ali Roba directed his county staff to keep away from their offices as he could not guarantee their safety.

The report on Farmajo's call came hours after the governor insisted that Jubaland forces were roaming free in Mandera County.

"Jubaland security forces are moving right inside Mandera town on Bulla Jamhuria Road, near the central chief camp, by the Huduma Center. This is a major threat to the security of Kenyans in Mandera. Our government must move with speed to mitigate this situation or risk more loss of lives," Roba tweeted.

However, Kanze Dena, State House spokesperson, declined to comment on the issue, upon being contacted for comment.

Farmajo's decision to approach Kenyatta is a change of tack from his previous decision to snub calls for talks with Kenya over another row, the Kenya-Somalia maritime border dispute.

On September 26, 2019, in his inaugural United Nations speech, the Somalia president stated that the matter was in court and that the International Court of Justice (ICJ) should be the ultimate arbiter because talks between the two countries had collapsed.

“We are very pleased that the court found that it had jurisdiction to resolve the dispute and that is scheduled for the final hearing for the merit case in November this year,” he stated.

Kenyatta had earlier on affirmed that he was open to other dispute resolution mechanisms, emphasising on dialogue.

“I have always believed and stood my ground that dialogue is the best and amicable way for finding the best and positive solution. This brings us together as opposed to a conflict that pushes away from each other,” Kenyatta suggested.

Source: kenyans.co.ke
Anajua Kenya ni Kusema nini[emoji23][emoji23].
Somalia anafurahisha marafiki wenzake wanyonge kama Tz lakini kenya inamfinya Makende huku chini[emoji23][emoji23]
images%20(98).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi hiyo
Anajua shughuli yetu, na asithubutu siku nyingine. Japo kiaina pamoja na kuomba kwake msamaha, bora akaonyeshwa makucha yetu yalivyokua yamechomoza, maana hii fursa ilikua imejipa ya wazi ya kuikoloni Somalia na kuwapa amani ya kudumu.
Ingekuwa TZ sawa c kwa kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeshi la Kenya hawana mbinu madhubuti wanabahatisha
Lete jeuli hivyo hivyo ila huwez fana Isha JWTZ na vitu vya kipuuzi hivi unazani ile ishu iliotoke Kenya Kwenye ime super market ingekuwa JWTZ unazani wangefika usiku?
Jombaa, hizi nyakati sio za vita vya kiChuck Norris misituni. Watu wanawekeza kwenye technologia, vitu kama drones na cyber warfare. Bila hardware za kijeshi kuvunja matofali ni upuuzi mtupu. Hapa E.A. kwenye ununuzi wa vifaa na silaha tunapelekana sako kwa bako na Uganda tu, ambao wameizidi hata Tz. Mwaka wa 2018/19 Kenya ilitumia KES 24.9billion kununua silaha. Mwaka wa 2017/18, Kenya KES 1.3billion, Uganda 1.8billion, Tz-0. Eti kwasababu mlikuwa mnabana matumizi. 😀 Alafu mwaka wa 2016/17, Kenya ilitumia KES 2.8billion. Kenya takes arms war to EA with Sh17.5bn budget
 
Back
Top Bottom