Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kuwaondoa hao tusitegemee la maanaTISS ni jumuia ya CCM, almost all of them ni zao la UVCCM.
Nick sio kwa kujimwagia sifa hizi, khaaaahSipendi kuona viongozi vijana wachapakazi wazalendo kabisa wakitukanwa. Umewakosea heshima hawa waheshimiwa
Nikki anafanya kazi kubwa sana, inaonekana. Anapambana usiku na mchana kuleta Maendeleo kwa wananchi, kisarawe amwacha historia kubwa mno
Babu tale ni mgeni bungeni lakini ana mchango mkubwa sana kwenye jimbo lake
Msukuma ni moja ya wabunge wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kutetea maslahi ya wananchi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nick bhanaaa, unachekesha mnoo aaaahWewe choko mimi sio Nikki alafu usiwe unapenda kuingia kwenye 18 zangu katafute basha ukatatuliwe hayo marinda
Nashangaa hapaTISS hawana msaada
Wabadilishe sheria za uajiri TISS
Secret Service iliundwa kulinda Thamani ya pesa la Marekani.
TISS ivunjwe