Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Hahaha,mi sio mkulima mkuu,nmemuuliza makusudi kabisa.Mmeshaanza kuvamia bila kuelewa utaratibu wa kupata hizo mbolea, alafu baadae mtaanza kuona mlidanganywa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha,mi sio mkulima mkuu,nmemuuliza makusudi kabisa.Mmeshaanza kuvamia bila kuelewa utaratibu wa kupata hizo mbolea, alafu baadae mtaanza kuona mlidanganywa
Si useme utaratibu ukoje,mbona husemi!?Mmeshaanza kuvamia bila kuelewa utaratibu wa kupata hizo mbolea, alafu baadae mtaanza kuona mlidanganywa
Jitolee ya urea na dap tu love! Nataka nilime 😔Raisi ana kazi kubwa sana, watu wengi akili hawana kabisa. Walimu walishindwa kueilewa 23.3 ni kwa kina nani.
Naona kabisa wakulima nao wanaandaa lawama bila kuelewa utaratibu utaotumika kupata hiyo mbolea ya ruzuku. Si kila duka la pembejeo litakua na mbolea ya ruzuku. Na Kuna masharti lazima mkulima ayafuate ili kupata hiyo mbolea ya ruzuku.
Wakulima wanapaswa kusajiliwa, usajili wao ndio utawafanya wapate mbolea za ruzuku. Na hizo mbolea za ruzuku hazitakua kwa wauzaji wote.Si useme utaratibu ukoje,mbona husemi!?
Katika kitu sipendi ni kukuona unapata shida yoyote to yeye wangu. Sio urea na dap tu nipo tayari kukupa mtaji wa kilimo.Jitolee ya urea na dap tu love! Nataka nilime [emoji17]
Ngoja bas niingie kwenye udalali....nilitaka nijaribu kilimo piaKatika kitu sipendi ni kukuona unapata shida yoyote to yeye wangu. Sio urea na dap tu nipo tayari kukupa mtaji wa kilimo.
Lakini ukiniomba ushauri ntakuambia USITHUBUTU kulima. Kilimo ni zaidi ya betting, kitu pekee ntakushauri ni kuwa middleman(dalali) wa kilimo na hapo ndio pesa ilipo. Naposema dalali namaanisha sio kama wale wa sokoni hapana, namaanisha wale wa kwenda kulalia wakulima na kuja kuuza kwa bei juu.
Nimewekeza hii kitu babati, Dom na Arusha. Acha locals walime, wewe nenda kawalalie
Eneo ulilopo wanalima sana nn? Na nini kinanunuliwa sana na wanatoka nje ya eneo lilipo. Mfano upo iringa, nini watu kutoka dar, au sehemu nyingine hufuata sana hapo? Muda mzuri wa kununua ni kipindi Cha mavunoNgoja bas niingie kwenye udalali....nilitaka nijaribu kilimo pia
Mbeya,mahindi maharage,mpunga na viaz mviringo vyote Watu wa dar huja kujumua hukuEneo ulilopo wanalima sana nn? Na nini kinanunuliwa sana na wanatoka nje ya eneo lilipo. Mfano upo iringa, nini watu kutoka dar, au sehemu nyingine hufuata sana hapo? Muda mzuri wa kununua ni kipindi Cha mavuno
Mbona sasa umekaa na utajiri huo? Tena hakuna kitu rahisi kukaa nacho kama mpunga.Mbeya,mahindi maharage,mpunga na viaz mviringo vyote Watu wa dar huja kujumua huku
Sawa,Asante nitajitahidi kulifanyia Kaz🤜Mbona sasa umekaa na utajiri huo? Tena hakuna kitu rahisi kukaa nacho kama mpunga.
Viazi mviringo na maharage mbona napo ni rahisi sana? Hapo unatafuta wanyonge wako interior huko kipindi wanakaribia kuvuna unawalalia, unakuja kuwauza hao wanaotika dar
Subiri kwanza utekelezaji , usije baadaye ukaanza kulia baada ya kuambiwa usubiri vita ya Ukraine iisheJana ilikuwa siku njema sana kwangu hii ni baada ya kusikia tamko la serikali kuhusu bei elekezi ya mbolea. Nasema nimekunwa sana Kwa sababu hili lilikuwa aibu kubwa mwaka Jana . Mimi ni mkulima wa mahindi mashamba yapo mkoani Rukwa.
Mwaka Jana nimeshindwa kumudu kabisa bei ya mbolea hekari moja nimekunwa napata hata Tani 3au mbili na nusu lakini kulingana na kushindwa kumudu gharama za mbolea nimejikuta mwaka huu ekari Moja napata Tani Moja tu!
Nasema Asante sana kwako rais na wizara ya kilimo, ombi langu ni kuhusu hii benki ya kilimo inavyoonesha ,Kuna aina ya wakulima wanaopata mikopo kupitia benki hii .na ninahisi Kuna mabwanyenye wanapewa pesa hata mashamba hawana.
Benki ya kilimo ipo kwenye majiji makubwa lakini sio vijijini ambako ndio Kuna walengwa haswaa. Lakini pia Kuna urasimu mkubwa na masharti magumu sana ambayo mkulima wa kawaida hawezi kumudu ,naiomba serikali iwe inafuatilia hao wanaokopeshwa kama kweli ni wakulima.
Nahisi sio wakulima kwa sababu hakuna mkulima anaeenda kuomba mkopo kutoka vijijini na akapewa, wanapeana wenyewe Kwa kujuana ,niombe pia benki hii ifungue matawi vijijini
Ni kama yalivyoshuka mafuta tuSikumfuatilia maza,kawekwa ruzuku kiasi gani,tutegemee mbolea kushuka Bei kiasi gani!?