DOKEZO Rais hili la mbolea umenikuna sana. Nakuomba ifanyieni uchunguzi Benki ya Kilimo, kuna jambo halipo sawa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Jitolee ya urea na dap tu love! Nataka nilime 😔
 
Jitolee ya urea na dap tu love! Nataka nilime [emoji17]
Katika kitu sipendi ni kukuona unapata shida yoyote to yeye wangu. Sio urea na dap tu nipo tayari kukupa mtaji wa kilimo.

Lakini ukiniomba ushauri ntakuambia USITHUBUTU kulima. Kilimo ni zaidi ya betting, kitu pekee ntakushauri ni kuwa middleman(dalali) wa kilimo na hapo ndio pesa ilipo. Naposema dalali namaanisha sio kama wale wa sokoni hapana, namaanisha wale wa kwenda kulalia wakulima na kuja kuuza kwa bei juu.

Nimewekeza hii kitu babati, Dom na Arusha. Acha locals walime, wewe nenda kawalalie
 
Ngoja bas niingie kwenye udalali....nilitaka nijaribu kilimo pia
 
Ngoja bas niingie kwenye udalali....nilitaka nijaribu kilimo pia
Eneo ulilopo wanalima sana nn? Na nini kinanunuliwa sana na wanatoka nje ya eneo lilipo. Mfano upo iringa, nini watu kutoka dar, au sehemu nyingine hufuata sana hapo? Muda mzuri wa kununua ni kipindi Cha mavuno
 
Eneo ulilopo wanalima sana nn? Na nini kinanunuliwa sana na wanatoka nje ya eneo lilipo. Mfano upo iringa, nini watu kutoka dar, au sehemu nyingine hufuata sana hapo? Muda mzuri wa kununua ni kipindi Cha mavuno
Mbeya,mahindi maharage,mpunga na viaz mviringo vyote Watu wa dar huja kujumua huku
 
Mbeya,mahindi maharage,mpunga na viaz mviringo vyote Watu wa dar huja kujumua huku
Mbona sasa umekaa na utajiri huo? Tena hakuna kitu rahisi kukaa nacho kama mpunga.

Viazi mviringo na maharage mbona napo ni rahisi sana? Hapo unatafuta wanyonge wako interior huko kipindi wanakaribia kuvuna unawalalia, unakuja kuwauza hao wanaotika dar
 
Sawa,Asante nitajitahidi kulifanyia Kaz🤜
 
Subiri kwanza utekelezaji , usije baadaye ukaanza kulia baada ya kuambiwa usubiri vita ya Ukraine iishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…