Mungu yupo atawafuta machozi.Wanalipe wema kwa ubaya waliotendewa
Kuna watu pepo zao waliziazia hapa duniani angalia faurniture za hiyo nyumba, carpet vigae, hapo ndo useme ccm haijaleta maendeleo.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za pole nyumbani kwake Ikulu Laibon, Dar es Salaam kutoka kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson kufuatia kifo cha Aliyekuwa Rais Mstaafu wa Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Marehemu Mzee Ali Hassan Mwinyi ambaye alifariki dunia tarehe: 29 Februari, 2024.