NONSENSE! Kukuambia hunijui ni kutafuta self-seeking?! Unapom-define mtu tofauti na alivyo ni nini tafsiri yake kama sio kwamba humjui?! Hoja yako ilikuwa niache professionalism itawale wakati kila mwenye akili timamu, na amenisoma vizuri ameona reference zangu sio kauli za wanasiasa bali za kitaalamu! Sasa unapo-assume napuuza professionalism nini tafsiri yake kama sio kwamba HUNIJUI?
Sasa kati yangu ninayetoa maelezo referred ambayo source yake ni watalaamu, na wewe unayetoa maelezo ya kichwani ni nani mbinafsi? Hivi una akili kweli wewe?! Yaani umeshindwa kujadili hoja unakimbilia personal attack? Stupid.