political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
Ng'ombe wa kafara.Huyu atakipata anachokitafuta
Ni suala la muda tu.Atapigwa Fitna Na Mabeberu Ya Magharibu Mpaka Iwe Kama Gaddafi
Waoga na wasiokuwa na umoja na wala rushwa ndiyo hunyanyasika. Je unafahamu kuwa Ethiopia haijawahi kutawaliwa? Tatizo la waafrica wengi huwa ni wanafiki utashangaa happ wanatokea wanalipwa kama akina Lisu na kuaza kusema ni makosa ila rasilimali zikiibwa siyo makosa.Huyu atakipata anachokitafuta
hawana ubavu huo sasa..ukraine huko wanahemea vidubwasha vyao vya ulgbtAtapigwa Fitna Na Mabeberu Ya Magharibu Mpaka Iwe Kama Gaddafi
vitakuja vyoteAkigundua mali zilizochukuliwa zina thamani kuliko hizo ndege mbili ataenda Ufaransa kufuata ndege zingine?
UmenenaAnaleta mambo ya magufuli. Ngoja tuone mwisho wake.
MzilankendeAnaleta mambo ya magufuli. Ngoja tuone mwisho wake.
Na France wanakiona cha mtema kuniHuyu atakipata anachokitafuta