Rais ingilia kati suala la Uhamisho kwa watumishi, tumechoka kuibiwa na Maafisa wa Tamisemi

Rais ingilia kati suala la Uhamisho kwa watumishi, tumechoka kuibiwa na Maafisa wa Tamisemi

Hao maafisa utumishi vilaza na nyie mnaokubali kufanyiwa huo upuuzi na nyinyi ni vilaza tu.....dunia ya leo ukigundua mtu anakuharibia ili mambo yako yasiende unamchelewesha ili iweje?....acheni kulalamika hivyo ..acheni kuwa wanyonge...vunja nyonga yake akalale wodini mwaka mzimaa..akiendelea mtangulizeni kibra..afisa utumishi unapata wapi ujasiri wa kucheza na maisha ya mtu....bahati mbaya sijapata kuajiriwa serikalini....mbona ni rahisi sana kumpoteza mpuuzi mmoja ili kuwasaidia wengine
 
Hao maafisa utumishi vilaza na nyie mnaokubali kufanyiwa huo upuuzi na nyinyi ni vilaza tu.....dunia ya leo ukigundua mtu anakuharibia ili mambo yako yasiende unamchelewesha ili iweje?....acheni kulalamika hivyo ..acheni kuwa wanyonge...vunja nyonga yake akalale wodini mwaka mzimaa..akiendelea mtangulizeni kibra..afisa utumishi unapata wapi ujasiri wa kucheza na maisha ya mtu....bahati mbaya sijapata kuajiriwa serikalini....mbona ni rahisi sana kumpoteza mpuuzi mmoja ili kuwasaidia wengine
Pole mkuu inaelekea umeumia sana
 
Hii ya barua kutoka moja kwa moja from Tamisemi nishawahi iona mahali [emoji2]
 
kuna mtumishi alikuwa anaomba kujihamisha kwa sababu za ugonjwa lkn alizungushwa weee hadi akafa!! yaani kuna viongozi wa juu ni makatili afadhali hata wanyama.
mtu anaumwa na anataka kufuata matibabu, tena anajihamisha lkn kwa maksudi anakataliwa.
Waziri Mohamedi Mchengelwa fuatilia watumishi wako wa chini wanateswa sana na viongozi wao ktk masuala ya uhamisho wa ugonjwa.
mtu anaumwa na ana vielelezo vya kidktari lkn anafanyiwa zengwe.
na vitendo hivi vya unyanyasaji bado vipo vinaendelea, baadhi ya viongozi ni waungu watu kwenye nafasi zao, tena kwenye utumishi wa umma!!!.
kuna watu wanaumizwa sana tena sana.
 
kuna mtumishi alikuwa anaomba kujihamisha kwa sababu za ugonjwa lkn alizungushwa weee hadi akafa!! yaani kuna viongozi wa juu ni makatili afadhali hata wanyama.
mtu anaumwa na anataka kufuata matibabu, tena anajihamisha lkn kwa maksudi anakataliwa.
Waziri Mohamedi Mchengelwa fuatilia watumishi wako wa chini wanateswa sana na viongozi wao ktk masuala ya uhamisho wa ugonjwa.
mtu anaumwa na ana vielelezo vya kidktari lkn anafanyiwa zengwe.
So sad[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom