Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Hebu ngoja kwanza... ina maana unamaanisha yalikuwa ni mazungumzo kati ya marais wawili, au? Halafu JK nae kwa kujifanya anajua kuchagua vitu vizuri....
Hivi hakuna rais wa meno ya ndovu?Hahahaaa Rais wa wasafi, Rais wa matuzo.....Rais wa Tandaleee...Rais wetu yaniii...
#Watanyooka tuuu
Unamaanisha King Mswati, au?!Kwa hiyo kikwete ana namba ya simu ya domo...? Ya king wetu sijui atakua nayo...? Ila hata afisa misitu na wanayamapori nae atakosa namba ya king...?
Yaah yalikuwa ni mazungumzo ya Marais wawili na walisema wazi kabisa mkaidi yeyote lazima anyooshwe hakuna namna nyingine..Hebu ngoja kwanza... ina maana unamaanisha yalikuwa ni mazungumzo kati ya marais wawili, au? Halafu JK nae kwa kujifanya anajua kuchagua vitu vizuri....
Teh Teh labda atakuwa nayoKwa hiyo kikwete ana namba ya simu ya domo...? Ya king wetu sijui atakua nayo...? Ila hata afisa misitu na wanayamapori nae atakosa namba ya king...?
Teh Teh...noma sanaHivi hakuna rais wa meno ya ndovu?
hahaahhahah lakin wote si wasanii lazma wapongezane 1 msanii wa msiki mwingine msanii wa siasa
Duh! Huyu Obama hana maana kabisa! Yaani King wetu anamuona katoto ka shule, au?obama kampigia cm king kisa SCHOOL BABY
obama kampigia cm king kisa SCHOOL BABY