King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
kwani kuna tatizo kusema hivi?
Ingawaje JK hajasema Afrika lakini pole sana ikiwa unaamini nguvu za Diamond zinaishia Mbagala.Labda kama Afrika inaanzia Magogoni na kuishia Mbagala, hapo inawezekana hamna tatizo.
Hapo alikosea wapi?
Ingawaje JK hajasema Afrika lakini pole sana ikiwa unaamini nguvu za Diamond zinaishia Mbagala.
JK huwa anaongea vitu bila kushirikisha ubongo..alishawahi kusema maiti wa waliozama na meli zanzibar zitatambuliwa kwa kufanya DNA testing...
Hujaandika katika context ya thread, na hakuna niliposema chochote kuhusu nguvu za Diamind kuishia Mbagala.
Aisee!!Labda ujifunze kusoma kwanza kabla ya kuandika
Halafu tena unadai:Labda kama Afrika inaanzia Magogoni na kuishia Mbagala, hapo inawezekana hamna tatizo.
Haya sasa... ewe unayeandika kutokana na context ya thread, nijuze basi suala la ikiwa Afrika inaanzia Magogoni na kuishia Mbagala umelihusisha vipi kwenye mada hii manake sana sana naona wewe ndo unaandika bila kuangalia context ya posts, WHY? kibafute aliandika:.... hakuna niliposema chochote kuhusu nguvu za Diamind kuishia Mbagala. Labda ujifunze kusoma kwanza kabla ya kuandika.
BestOfMyKind akahojiJK huwa anaongea vitu bila kushirikisha ubongo..alishawahi kusema maiti wa waliozama na meli zanzibar zitatambuliwa kwa kufanya DNA testing...
Endapo ungekua unaandika kwa kuangalia context ya post ungefahamu wazi kwamba alichohoji BestOfMyKind ni ikiwa kuna tatizo kusema maiti waliokuwa wamezama na meli wangetambuliwa kwa kuangalia DNA, lakini badala yake, ukasema:kwani kuna tatizo kusema hivi?
COMPLETELY OUT OF POST CONTEXT!!!!Labda kama Afrika inaanzia Magogoni na kuishia Mbagala, hapo inawezekana hamna tatizo.
Madai ya mleta mada (THREAD) ni kwamba JK amesema hakuna mwanamuziki mkubwa kwa Afrika kama Diamond na wewe ukasema:Halafu tena unadai: Haya sasa... ewe unayeandika kutokana na context ya thread, nijuze basi suala la ikiwa Afrika inaanzia Magogoni na kuishia Mbagala umelihusisha vipi kwenye mada hii manake sana sana naona wewe ndo unaandika bila kuangalia context ya posts, WHY? kibafute aliandika:JK huwa anaongea vitu bila kushirikisha ubongo..alishawahi kusema maiti wa waliozama na meli zanzibar zitatambuliwa kwa kufanya DNA testing...[/QUOTE BestOfMyKind akahojiEndapo ungekua unaandika kwa kuangalia context ya post ungefahamu wazi kwamba alichohoji BestOfMyKind ni ikiwa kuna tatizo kusema maiti waliokuwa wamezama na meli wangetambuliwa kwa kuangalia DNA, lakini badala yake, ukasema:COMPLETELY OUT OF POST CONTEXT!!!!
JK anaposema hakuna mwanamuziki mkubwa kwa Afrika kama Diamond anaongelea Afrika gani?
Ya kuanzia Magogoni na kuishia Mbagala?
Alah! kumbe ndicho ulichokuwa unamaanisha!! Kwenye post yangu ya awali nimeshasema kwamba mleta mada ameongoza chumvi, na hata post uliyoni-quote wewe nilisema JK hajasema Afrika... kwahiyo sidhani kama nalazimika kujibu swali lako hili ambalo msingi wake unaenda kinyume na kile nilichosikia mimi, kwamba, reference ya JK ni Tanzania na sio Afrika!JK anaposema hakuna mwanamuziki mkubwa kwa Afrika kama Diamond anaongelea Afrika gani?
Ya kuanzia Magogoni na kuishia Mbagala?
Mbona huyo Mondi sikumwona au alikuwa back stage na Bosslady.upadate:angalieni taarifa ya habari ya saa 2 usiku.
Alah! kumbe ndicho ulichokuwa unamaanisha!! Kwenye post yangu ya awali nimeshasema kwamba mleta mada ameongoza chumvi, na hata post uliyoni-quote wewe nilisema JK hajasema Afrika... kwahiyo sidhani kama nalazimika kujibu swali lako hili ambalo msingi wake unaenda kinyume na kile nilichosikia mimi, kwamba, reference ya JK ni Tanzania na sio Afrika!
Aisee!!
Madai ya mleta mada (THREAD) ni kwamba JK amesema hakuna mwanamuziki mkubwa kwa Afrika kama Diamond na wewe ukasema:Halafu tena unadai: Haya sasa... ewe unayeandika kutokana na context ya thread, nijuze basi suala la ikiwa Afrika inaanzia Magogoni na kuishia Mbagala umelihusisha vipi kwenye mada hii manake sana sana naona wewe ndo unaandika bila kuangalia context ya posts, WHY? kibafute aliandika: BestOfMyKind akahojiEndapo ungekua unaandika kwa kuangalia context ya post ungefahamu wazi kwamba alichohoji BestOfMyKind ni ikiwa kuna tatizo kusema maiti waliokuwa wamezama na meli wangetambuliwa kwa kuangalia DNA, lakini badala yake, ukasema:COMPLETELY OUT OF POST CONTEXT!!!!
Niwe completely out of thread context wakati nimeshasema mleta mada ametia chumvi... alichosema sicho kilichoongelewa!!! Inaonekana wewe source yako ni mleta mada wakati mimi nimesikiliza hotuba A-Z!Bora mimi completely out of post context.
Wewe umekuwa completely out of threads context.