Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
watanzania wengi ni wajinga wa kutupa.... eti tunaanza kushtakiana nje ya nchi si ujinga kabisa huu... hata wao ICC wanatushangaa kwa kweli...
mfia maji haachi kutapatapa
Wameshajijuwa kuwa wameshindwa sasa wanatafuta huruma!
Hizzo mahakama na huko wanakopeleka malalamiko wana watu hapa hapaa nchini na wanaona ujinga wote unaofanywa na chadomo.
Kwanza inafaa washitakiwe wao kutuwekea mgomba urais ndondocha.
35-45 sio vijana
watanzania wengi ni wajinga wa kutupa.... eti tunaanza kushtakiana nje ya nchi si ujinga kabisa huu... hata wao ICC wanatushangaa kwa kweli...
mfia maji haachi kutapatapa
Unataka tukashitaki wapi Kisutu?
Acha watushangaee tu kwani sisi ni wakwanzaa?
Nyinyi muagize polisi watupige risasi halaf sis tunyamazee?? Hiyo ni akili kweli?
Wewe ulitaka wakamshtaki kwenye mahakama gani ikiwa mahakama ya nchi yao haina nguvu kikatiba ya kumuwajibisha?
mkuu kwanza hapo hakuna kosa ni porojo tu za kutafuta huruma ya umoja wa mataifa kwenye huu uchaguzi.
hakuna vitisho alivyotoa, wao wanataka ili ccm ikishinda ionekane imeshinda kibabe sio kwa haki...
hakuna mtu mwenye akili timamu atakayetilia maanani hayo mashtaka.
Mtapigwa tu. kama mnakaidi kufanya mikusanyiko isiyo halali baada ya kupiga kura hakika kipigo kitakuwa miguuni mwenu. JK yupo sahihi.
thanks sana mahakama ya icc lazma utulivu uwepo nchin maana vurugu hatutaki
watanzania wengi ni wajinga wa kutupa.... eti tunaanza kushtakiana nje ya nchi si ujinga kabisa huu... hata wao ICC wanatushangaa kwa kweli...
mfia maji haachi kutapatapa
Mkuu kweli wewe kiazi unaonekana hujitambui kabisa.
Kwikwikwikwikwikwi kweli akili hamna,,sasa hapa mmeshitaki au mmepeleka umbeya?? Mbona mnachuki sana na JK, amewafanya nini mkwere wa watu mbona yupo poa tu,, ikulu hii mbona mnaitafuta kwa nguvu sana wajameni??? Ikulu hatuendi kwa nguvu hiyo???