Superbrand
JF-Expert Member
- Apr 6, 2013
- 509
- 158
Ndo maana Mh mbowe kwenye mkutano alisema hawana akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosa cha kuandika
Rudi shulen mwalim wako wa uraia akakufundishe kazi kubwa moja ya mahakama ya ICC
Usidanganye watu
tukwambie kwamba rais wa nchi hii hana kashfa hata moja ya uhalifu wa kivita.
Wanakushangaa wewe!
Upo mzima kweli.? Umeandika nini hapa.?!Kinachofanyika ni urofa na upumbavu, chadema wanatumia mambo ya kitoto na wanakuwa kama hawakwenda shule, wenzetu wanajua kila kinacho endelea hapa nchini.
Hivi kwa nini ccm mnavimatusi vya reja reja sana. Sababu nini.!?
Hiyo ndo sababu eehe.?!kwasababu nyie ukiwa mnaambiwa mnajitia ubishi kuelewa
tunaifatilia kk[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]bavicha hii kesi vipi?
Leo njok tujadili kwa nn mlimfungulja mashtaka kikwete?Sasa yeye vitisho anavyotoa ni vya nini?ICC ndio inawaweza hawa akina nkulunzinza
Uko sawa, hapa ni kutishia na si KUUA! ICC inashughulikai mauaji si vitisho!anatumia madaraka yake vibaya kutisha wananchi kuelekea uchaguzi mkuu.
sijaona kuua!anatumia madaraka yake vibaya kutisha wananchi kuelekea uchaguzi mkuu.
Utaonaje wakati hakuwahi kuua!sijaona kuua!