Rais Joe Biden asaini Mswada wa Bilioni 700$ kuboresha Afya, Kodi na Tabia Nchi

Chadomo watasema America walishaachana na mambo ya Afya kitambo 😂😂
 
Russia ashindwe kutengeneza airbag kuweni na akili bhs[emoji23][emoji23]. Hivyo hivyo US anahaha kwenda anga za mbali, rocket za engines alikua anategemea Russia. Kama hujui US anategemea vingi kutoka Russia ila kwakua kawashika masikio hamuwezi jua.
Russia's economy in for a bumpy ride as sanctions bite jisomee mwenyewe link hiyo hapo kwa taarifa tu urusi ina shida sana kwa sasa mpaka wino wa kuprint matangazo umepungua sana urusi na bado finishing inaendelea atapukutishwa mpaka achakae ndiyo atajua why china huwa anaufyata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…