JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Baada ya kombora kutua katika Kijiji kimoja Nchini #Poland na kuua watu wawili kisha kudaiwa Urusi ndio imehusika, Rais wa Marekani, Joe Biden amesema kuna uwezekano kombora hilo halikutokea Urusi.
Amesema: "Siwezi kusema wazi moja kwa moja kuhusu ushiriki wa Urusi hadi uchunguzi ukamilike.”
Urusi yenyewe imekanusha vikali kuhusika na mlipuko huo, huku Wizara yake ya Ulinzi ikisema madai hayo ni sehemu ya uchochezi dhidi ya Nchi yao.
------
Unlikely that missile was fired from Russia - Biden
We're now hearing from US President Joe Biden, who says it is "unlikely" that the missile responsible for killing two people in Poland was fired from Russia.
He says there is "preliminary information that contests" whether the incident in Poland was due to a missile fired from Russia.
"I don't want to say that until we completely investigate, but it's unlikely in the minds of the trajectory that it was fired from Russia, but we'll see."
Biden says that world leaders will determine the next steps after finding out what happened - following investigations taking place in Poland.
Source: BBC
Amesema: "Siwezi kusema wazi moja kwa moja kuhusu ushiriki wa Urusi hadi uchunguzi ukamilike.”
Urusi yenyewe imekanusha vikali kuhusika na mlipuko huo, huku Wizara yake ya Ulinzi ikisema madai hayo ni sehemu ya uchochezi dhidi ya Nchi yao.
------
Unlikely that missile was fired from Russia - Biden
We're now hearing from US President Joe Biden, who says it is "unlikely" that the missile responsible for killing two people in Poland was fired from Russia.
He says there is "preliminary information that contests" whether the incident in Poland was due to a missile fired from Russia.
"I don't want to say that until we completely investigate, but it's unlikely in the minds of the trajectory that it was fired from Russia, but we'll see."
Biden says that world leaders will determine the next steps after finding out what happened - following investigations taking place in Poland.
Source: BBC