Narumu kwetu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,888
- 4,489
Kwenye nini bwashee kuwa waz maana tutafikiria mengineView attachment 2418187
Hujawahi kuniangusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye nini bwashee kuwa waz maana tutafikiria mengineView attachment 2418187
Hujawahi kuniangusha
Ukraine kamtungua jirani yake katika harakati za kutungua makombora ya mrusiBaada ya kombora kutua katika Kijiji kimoja Nchini #Poland na kuua watu wawili kisha kudaiwa Urusi ndio imehusika, Rais wa Marekani, Joe Biden amesema kuna uwezekano kombora hilo halikutokea Urusi.
Amesema: "Siwezi kusema wazi moja kwa moja kuhusu ushiriki wa Urusi hadi uchunguzi ukamilike.”
Urusi yenyewe imekanusha vikali kuhusika na mlipuko huo, huku Wizara yake ya Ulinzi ikisema madai hayo ni sehemu ya uchochezi dhidi ya Nchi yao.
------
Unlikely that missile was fired from Russia - Biden
We're now hearing from US President Joe Biden, who says it is "unlikely" that the missile responsible for killing two people in Poland was fired from Russia.
He says there is "preliminary information that contests" whether the incident in Poland was due to a missile fired from Russia.
"I don't want to say that until we completely investigate, but it's unlikely in the minds of the trajectory that it was fired from Russia, but we'll see."
Biden says that world leaders will determine the next steps after finding out what happened - following investigations taking place in Poland.
Source: BBC
Putin sio janga la dunia ila russia ndo janga la dunia hata km putin afe leo usidhan kama russia itaacha kuismbulia Ukraine .Putin ni janga la dunia na dunia ikiendelea kumchekea Putin atakuja kuifanyia dunia kitu ambacho dunia haitakuja ikae isahau.
Zelensky ndio janga la dunia!!Putin ni janga la dunia na dunia ikiendelea kumchekea Putin atakuja kuifanyia dunia kitu ambacho dunia haitakuja ikae isahau.
Wanaipiga Poland kutokea wapiMarekani kwa propaganda ni noma. Huenda wao ndio wamepiga Poland [emoji1200]
Kwahiyo zelensikyy ndio alivamia nchi jirani au?Zelensky ndio janga la dunia!!
Jidanganyepro russia tupo tumbo joto balaa. yarabi tunusuru. ukraine anatuhenyesha wakiingia nato si ndo itakua balaa sasa.
baba tuepishe na kikombe hiki sisi waja wako.
kupigana na NATO hatutaweza.
siriaz
Yani Marekani akishakulebel vibaya, hata wakikuta mavi mwezini atasema ni wewe umekunya.Baada ya kombora kutua katika Kijiji kimoja Nchini #Poland na kuua watu wawili kisha kudaiwa Urusi ndio imehusika, Rais wa Marekani, Joe Biden amesema kuna uwezekano kombora hilo halikutokea Urusi.
Amesema: "Siwezi kusema wazi moja kwa moja kuhusu ushiriki wa Urusi hadi uchunguzi ukamilike.”
Urusi yenyewe imekanusha vikali kuhusika na mlipuko huo, huku Wizara yake ya Ulinzi ikisema madai hayo ni sehemu ya uchochezi dhidi ya Nchi yao.
------
Unlikely that missile was fired from Russia - Biden
We're now hearing from US President Joe Biden, who says it is "unlikely" that the missile responsible for killing two people in Poland was fired from Russia.
He says there is "preliminary information that contests" whether the incident in Poland was due to a missile fired from Russia.
"I don't want to say that until we completely investigate, but it's unlikely in the minds of the trajectory that it was fired from Russia, but we'll see."
Biden says that world leaders will determine the next steps after finding out what happened - following investigations taking place in Poland.
Source: BBC
Alisikika Mwanamgambo wa Ukraine baada ya kuchomwa mshale wa kotapro russia tupo tumbo joto balaa. yarabi tunusuru. ukraine anatuhenyesha wakiingia nato si ndo itakua balaa sasa.
baba tuepishe na kikombe hiki sisi waja wako.
kupigana na NATO hatutaweza.
siriaz
Hapa umenifurahisha , mimi si Pro Russia lakin naamin katika Super powers.Marekani kwa propaganda ni noma. Huenda wao ndio wamepiga Poland 🇵🇱
West huwa hawakurupuki wanatulia Kwanza wanakusnya ushaidi ili Russia ikipigwa wasianze kulalamika Acha tusubiri tuone Hali itakuaje.
Naona PUTIN anazidi KUCHUNGULIA KABURI LAKE