Rais John Magufuli ndiye sampuli ya Mtanzania mwenye maadili mema

Rais John Magufuli ndiye sampuli ya Mtanzania mwenye maadili mema

Ukimwi kwenu
Katerelo kwenu
MV Bukoba kwenu
Sasa mteteme na tetemeko..
Maadili ya mtanzania
 
Hii namba mbona haipatikani maana unatafutwa upatiwe uteuzi
 
Kibaya cha jitembeza kizuri chajiuza kama Magufuli angekuwa mzuri hivyo usinge tumia mda wote huo kumsifia. angekuwa anasifiwa na wakulima wa korosho,pamba, mbazi, kahawa, mahindi na wafanyakazi na wasio nakazi. laikini leo wanao msifia ni watu kama wewe mnao tafuta chochote.
 
Kuna raha fulani hivi kutawala wajinga [emoji23]
 
Back
Top Bottom