geraldkowero1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,838
- 646
Naona tunazidi kujidhalilisha tu kwa gari Kama Hilo serikali ya Tanzania inauziwa kwa 250million Na DT Dobie au mzabuni yoyote Yule aliyeshinda Tenda Hiyo ingawa gari za serikali hazilipiwi kodi hiyo bei sijui wanitoa wapi?!!!! Hii sheria ya manunuzi ni JIPU lingine kubwa kama kitambi cha Mzee Wasira
Mkuu akiamua kukusogeza mbele kukutaka umsafishe jina utakuwa nao ubavu au utaishia tu kusema nilikuwa siyajui mwanachama mwenzangu. Muwe mnazijua na sheria zinazohusu mitandao ya kijamii.