Rais Kagame afukuza wanajeshi 200 pamoja na meja Jenerali Martin Nzaramba

Rais Kagame afukuza wanajeshi 200 pamoja na meja Jenerali Martin Nzaramba

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Rais wa Rwanda Pul Kagame amewafukuza kazi wanajeshi kwa kutia saini miongoni mwao akiwemo Meja Jenerali Martin Nzaramba, Kanali DKT Atienne Uwimana na maafisa wengine 19 ambao hawakutajwa majina yao kwasababu ambazo hazijawekwa wazi .

Hatua hiyo imechukuliwa na Rais Kagame baada ya alhamis ya jana kufanya mkutano na viongozi mbalimbali katika Jeshi la Rwanda kuangazia namna ya kuimarisha usalama wa nchi hiyo.

Ikumbukwe kua mwaka jana Kagame alifanya hivihivi kwa kuwafuta kazi wanajeshi 200 akiwemo Meja Jenerali Aloyce Muganga na maafisa wengine wa usalama wa ngazi za juu katika Jeshi hilo. hadi kufikia sasa haijawekwa wazi sababu za viongozi hao wa usalama kuondolewa.

Soma Pia: Rwanda: Rais Kagame ateua wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi

Screenshot 2024-08-30 100602.png
 
Rais wa Rwanda Pul Kagame amewafukuza kazi wanajeshi kwa kutia saini miongoni mwao akiwemo Meja Jenerali Martin Nzaramba, Kanali DKT Atienne Uwimana na maafisa wengine 19 ambao hawakutajwa majina yao kwasababu ambazo hazijawekwa wazi .

Hatua hiyo imechukuliwa na Rais Kagame baada ya alhamis ya jana kufanya mkutano na viongozi mbalimbali katika Jeshi la Rwanda kuangazia namna ya kuimarisha usalama wa nchi hiyo.

Ikumbukwe kua mwaka jana Kagame alifanya hivihivi kwa kuwafuta kazi wanajeshi 200 akiwemo Meja Jenerali Aloyce Muganga na maafisa wengine wa usalama wa ngazi za juu katika Jeshi hilo. hadi kufikia sasa haijawekwa wazi sababu za viongozi hao wa usalama kuondolewa.


Hii njia hata Kim anatumia sana... unawafanya wawe wanyonge wasiojiamini.. unaondoa watu kujenga makundi na kuota mizizi.
 
Rais wa Rwanda Pul Kagame amewafukuza kazi wanajeshi kwa kutia saini miongoni mwao akiwemo Meja Jenerali Martin Nzaramba, Kanali DKT Atienne Uwimana na maafisa wengine 19 ambao hawakutajwa majina yao kwasababu ambazo hazijawekwa wazi .

Hatua hiyo imechukuliwa na Rais Kagame baada ya alhamis ya jana kufanya mkutano na viongozi mbalimbali katika Jeshi la Rwanda kuangazia namna ya kuimarisha usalama wa nchi hiyo.

Ikumbukwe kua mwaka jana Kagame alifanya hivihivi kwa kuwafuta kazi wanajeshi 200 akiwemo Meja Jenerali Aloyce Muganga na maafisa wengine wa usalama wa ngazi za juu katika Jeshi hilo. hadi kufikia sasa haijawekwa wazi sababu za viongozi hao wa usalama kuondolewa.

Soma Pia: Rwanda: Rais Kagame ateua wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi

Yaonesha huwa na 200 wake kila mwaka.

Hata hivyo huyo mwamba anajulikana kwa kuwachanganya maadui zake.

Kwamba hiyo fukuza fukuza yaweza kuwa hata ni janja ya nyani tu.

Usikute kufukuzwa huko ndiyo maana yake halisi ya kupandishwa cheo sasa.
 
Kagame ni very intelligent person.

Kuna sababu kubwa nyuma ya huu mchakato, kuwafuta kazi maafisa wa jeshi wakubwa na wakawaida ni hatari kwa taifa hususan mataifa ya kiafrika Haya ya kusini mwa jangwa la sahara.

Unadhani kwa kawaida kuwafuta kazi Askari jeshi 200 kwa pamoja ni jambo Dogo?

Lazma kungekuwa na ongezeko la machafuko nchini, vitendo vya ujambazi, vitendo vya uhalifu lazma vingejitokeza ila nchi yake ipo kwenye utulivu, huu mchakato upo na kitu katikati yake.
 
Hizo ni mbinu za zamani sana. Wengine hupelekwa nchi jirani, wengine huwa waasi, wengine huingia mitaani, wengine hutumiwa kama mitego kunasa maadui vichwa panzi nk...hivyo vichwa vilivyonyooka vinajua zaidi, Hata kwetu watakuwa wanajua zaidi kuliko sisi keyboard warriors.
 
Rais wa Rwanda Pul Kagame amewafukuza kazi wanajeshi kwa kutia saini miongoni mwao akiwemo Meja Jenerali Martin Nzaramba, Kanali DKT Atienne Uwimana na maafisa wengine 19 ambao hawakutajwa majina yao kwasababu ambazo hazijawekwa wazi .

Hatua hiyo imechukuliwa na Rais Kagame baada ya alhamis ya jana kufanya mkutano na viongozi mbalimbali katika Jeshi la Rwanda kuangazia namna ya kuimarisha usalama wa nchi hiyo.

Ikumbukwe kua mwaka jana Kagame alifanya hivihivi kwa kuwafuta kazi wanajeshi 200 akiwemo Meja Jenerali Aloyce Muganga na maafisa wengine wa usalama wa ngazi za juu katika Jeshi hilo. hadi kufikia sasa haijawekwa wazi sababu za viongozi hao wa usalama kuondolewa.

Soma Pia: Rwanda: Rais Kagame ateua wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi
Hofu, mashaka, wasiwasi vinamtesa sana kagame
 
Kagame ni very intelligent person.

Kuna sababu kubwa nyuma ya huu mchakato, kuwafuta kazi maafisa wa jeshi wakubwa na wakawaida ni hatari kwa taifa hususan mataifa ya kiafrika Haya ya kusini mwa jangwa la sahara.

Unadhani kwa kawaida kuwafuta kazi Askari jeshi 200 kwa pamoja ni jambo Dogo?

Lazma kungekuwa na ongezeko la machafuko nchini, vitendo vya ujambazi, vitendo vya uhalifu lazma vingejitokeza ila nchi yake ipo kwenye utulivu, huu mchakato upo na kitu katikati yake.
Sio mara ya kwanza,hata mwaka Jana alifukuza wengi tuu tena wenye vyeo
 
Kagame ni very intelligent person.

Kuna sababu kubwa nyuma ya huu mchakato, kuwafuta kazi maafisa wa jeshi wakubwa na wakawaida ni hatari kwa taifa hususan mataifa ya kiafrika Haya ya kusini mwa jangwa la sahara.

Unadhani kwa kawaida kuwafuta kazi Askari jeshi 200 kwa pamoja ni jambo Dogo?

Lazma kungekuwa na ongezeko la machafuko nchini, vitendo vya ujambazi, vitendo vya uhalifu lazma vingejitokeza ila nchi yake ipo kwenye utulivu, huu mchakato upo na kitu katikati yake.
Ni kweli sio rahisi kuwafukuza ni hatari kwa uslama wa nchi , huyu anacheza na akili za watu .
 
Kagame ni very intelligent person.

Kuna sababu kubwa nyuma ya huu mchakato, kuwafuta kazi maafisa wa jeshi wakubwa na wakawaida ni hatari kwa taifa hususan mataifa ya kiafrika Haya ya kusini mwa jangwa la sahara.

Unadhani kwa kawaida kuwafuta kazi Askari jeshi 200 kwa pamoja ni jambo Dogo?

Lazma kungekuwa na ongezeko la machafuko nchini, vitendo vya ujambazi, vitendo vya uhalifu lazma vingejitokeza ila nchi yake ipo kwenye utulivu, huu mchakato upo na kitu katikati yake.
Ni Wapiganaji wapya M 23
 
Rais wa Rwanda Pul Kagame amewafukuza kazi wanajeshi kwa kutia saini miongoni mwao akiwemo Meja Jenerali Martin Nzaramba, Kanali DKT Atienne Uwimana na maafisa wengine 19 ambao hawakutajwa majina yao kwasababu ambazo hazijawekwa wazi .

Hatua hiyo imechukuliwa na Rais Kagame baada ya alhamis ya jana kufanya mkutano na viongozi mbalimbali katika Jeshi la Rwanda kuangazia namna ya kuimarisha usalama wa nchi hiyo.

Ikumbukwe kua mwaka jana Kagame alifanya hivihivi kwa kuwafuta kazi wanajeshi 200 akiwemo Meja Jenerali Aloyce Muganga na maafisa wengine wa usalama wa ngazi za juu katika Jeshi hilo. hadi kufikia sasa haijawekwa wazi sababu za viongozi hao wa usalama kuondolewa.

Soma Pia: Rwanda: Rais Kagame ateua wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi
RIP in advance makamanda
 
Back
Top Bottom