Rais Kagame afukuza wanajeshi 200 pamoja na meja Jenerali Martin Nzaramba

Rais Kagame afukuza wanajeshi 200 pamoja na meja Jenerali Martin Nzaramba

Kagame mjanja sana , hao ndio wanafutwa serikalini na kupelekwa direct kuongeza nguvu kule m23
Na inawezekana ndio wanaendesha program za chini kwa chini nnje ya nchi kimataifa kwaajili ya msalahi mapana ya Nchi yake , kila mtu na muundo wa utawala wake anavyotaka kuiendesha Nchi yake.
 
Rais wa Rwanda Pul Kagame amewafukuza kazi wanajeshi kwa kutia saini miongoni mwao akiwemo Meja Jenerali Martin Nzaramba, Kanali DKT Atienne Uwimana na maafisa wengine 19 ambao hawakutajwa majina yao kwasababu ambazo hazijawekwa wazi .

Hatua hiyo imechukuliwa na Rais Kagame baada ya alhamis ya jana kufanya mkutano na viongozi mbalimbali katika Jeshi la Rwanda kuangazia namna ya kuimarisha usalama wa nchi hiyo.

Ikumbukwe kua mwaka jana Kagame alifanya hivihivi kwa kuwafuta kazi wanajeshi 200 akiwemo Meja Jenerali Aloyce Muganga na maafisa wengine wa usalama wa ngazi za juu katika Jeshi hilo. hadi kufikia sasa haijawekwa wazi sababu za viongozi hao wa usalama kuondolewa.

Soma Pia: Rwanda: Rais Kagame ateua wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi
Ni kweli sio rahisi kuwafukuza ni hatari kwa uslama wa nchi , huyu anacheza na akili za watu .
Sidhani kama hilo linawezekana.

Akili yangu ya ulinzi wa familia inanikatalia..
Hii ni mbinu ya kuwazuga maadui zake ili aweze kuwaingiza mkenge kwa urahisi.
 
Rais wa Rwanda Pul Kagame amewafukuza kazi wanajeshi kwa kutia saini miongoni mwao akiwemo Meja Jenerali Martin Nzaramba, Kanali DKT Atienne Uwimana na maafisa wengine 19 ambao hawakutajwa majina yao kwasababu ambazo hazijawekwa wazi .

Hatua hiyo imechukuliwa na Rais Kagame baada ya alhamis ya jana kufanya mkutano na viongozi mbalimbali katika Jeshi la Rwanda kuangazia namna ya kuimarisha usalama wa nchi hiyo.

Ikumbukwe kua mwaka jana Kagame alifanya hivihivi kwa kuwafuta kazi wanajeshi 200 akiwemo Meja Jenerali Aloyce Muganga na maafisa wengine wa usalama wa ngazi za juu katika Jeshi hilo. hadi kufikia sasa haijawekwa wazi sababu za viongozi hao wa usalama kuondolewa.

Soma Pia: Rwanda: Rais Kagame ateua wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi
anawapeleka m23 hao , huyu jamaa bi genius , anatuchezea muvi ngumu kuelewa wana EAC na tumeshindwa kung'amua na kuelewa
NB : wanajeshi 200 haogopi kuasiwa ?
 
Rais wa Rwanda Pul Kagame amewafukuza kazi wanajeshi kwa kutia saini miongoni mwao akiwemo Meja Jenerali Martin Nzaramba, Kanali DKT Atienne Uwimana na maafisa wengine 19 ambao hawakutajwa majina yao kwasababu ambazo hazijawekwa wazi .

Hatua hiyo imechukuliwa na Rais Kagame baada ya alhamis ya jana kufanya mkutano na viongozi mbalimbali katika Jeshi la Rwanda kuangazia namna ya kuimarisha usalama wa nchi hiyo.

Ikumbukwe kua mwaka jana Kagame alifanya hivihivi kwa kuwafuta kazi wanajeshi 200 akiwemo Meja Jenerali Aloyce Muganga na maafisa wengine wa usalama wa ngazi za juu katika Jeshi hilo. hadi kufikia sasa haijawekwa wazi sababu za viongozi hao wa usalama kuondolewa.

Soma Pia: Rwanda: Rais Kagame ateua wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi
Hawa ndio wanaenda kuipa tabu Congo.

Unahitaji D mbili kuelewa hili.

Hakuna aliefukuzwa hapo.
 
Back
Top Bottom