Wanstechnical
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 266
- 225
Was kwenu bado anacompose Twitter yake..mara akosee anarudia anakosea anarudia.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Kipindi magufuli anachukua nchi...Uhuru alimupongeza baada ya kutangazwa mshindi wa uraisi papo kwa papo...?Wapi pongezi za Pombe Magufuli?
Aki tweet fanzeni mpango tupateWas kwenu bado anacompose Twitter yake..mara akosee anarudia anakosea anarudia.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkojo wako unaonesha makinikia ya unga mda unatoa post, jiandar[emoji419] [emoji2] [emoji375]....On behalf of myself, and my people... I congratulate you very very Mheshimiwa!
Mu 7And the list continues....... who is the next?[emoji12]
Mbona hivo lakini??sihata kesho??Wapi pongezi za Pombe Magufuli?
Si ndio hapo
Wapi pongezi za Pombe Magufuli?
Ok mkuu ,hamna shida lets move on.Uhuru alinyamaza kwenye twitter mwaka 2015 kwa hiyo ategemee kunyamaziwa pia.