Rais Kagame ampongeza Rais Mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta

Wanstechnical

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2014
Posts
266
Reaction score
225
Akitumia ukurasa wake wa twitter Raisi wa Rwanda ambaye hivi majuzi amepata ridhaa ya kuiongoza Rwanda kwa mara nyingine, amempa pongezi raisi wa Kenya Uhuru Kenyata kwa kuchaguliwa tena kuiongoza nchi ya Kenya baada ya kumgaragaza mpinzani wake Raila Odinga kwa kura 8mill dhidi ya 6mill.
 
And the list continues....... who is the next?[emoji12]
 
Ebu acheni kumsakama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa vitu vya kipuuzi.


Ccm oyeeeeeee

Post hii imeandikwa kwa niaba ya Cocochanel

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Lugha ya malkia inafanya wetu achelewe kupongeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…