Rais Kagame atuma Salamu za Rambirambi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Serikali haistahili kupokea salamu za rambirambi kwa namna yeyote ile. Licha ya kukumbwa na majanga kama haya lakini serikali imejaa anasa tupu badala ya kufanya maandalizi ya vyombo vya uokozi.

Samia akiwa makamu wa rais serikali iliiwaambia wana Kagera serikali haikuleta tetemeko. Haikutosha serikali ilipokonya rambirambi zetu ikatumia.
Nchi rafiki zielekeze salamu kwa wananchi
 
Tena kuna waliotoa pongezi kwa wananchi waliofika kutoa msaada . Hata mimi nawaoongeza wananchi kweli kabisa na pole naitoa kwa wananchi wenzangu tumepoteza watu muhimu sana kwenye hii jamii
 
Ajali ya ndege mbatuma rambirambi ila ajali za mabasi zinazoua watu zaidi ya hao hakuna salamu za rambi rambi, sielewi.
 
Kichwa cha habari na content ya PK ni tofauti kabisa. Vijana wa Chadema mnafeli wapi? Au kisa mwenyekiti wenu ni Div 0 ina maana anaongoza watu nao Div 0 hata kutafsiri alichoandika PK. mnashindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…