Madem wao ni hatari kabisa,au unasemaje?kaka tupange tour huko
Asante kwa taarifa lakini sasa hivi mawazo yetu yapo kwenye taarifa za ushirikiano wetu na heavyweight mwenzetu Ethiopia. Tukipoteza muda kuangalia walio nyuma na chini yetu tutapoteza. Bajeti yetu kwa sasa hivi labda muungane Afrika mashariki yote ndio mtunusie. Sasa kwa wewe kuleta hizi habari kwenye upande wa Kenya utakua unatuburuza turudi nyuma.
Nyie mnamhitaji huyo Kagame awanyooshe na kuwaonyesha jinsi ya kuboresha nchi, mwenyewe keshasema mkimpa bandari atawalisha nyote na ibaki chenji.
nasikia ethiopia nao wanapigana na eritrea. kweli mko mnafanana
Dunia yote ipo vitani, wewe endelea kubweteka hapo baada kula ubwabwa kwa mama ntilie uswazi, yatakukuta mlangoni ndio utakoma.
dua la kuku hilo