Rais Karia, tunaomba Ali Kamwe ajengewe sanamu uwanja wa Taifa

Rais Karia, tunaomba Ali Kamwe ajengewe sanamu uwanja wa Taifa

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kwako Rais wa TFF,

Shikamoo popote ulipo.

Nichukue muda wangu nisikuchoshe sana, hapa nchini kumekuwa na aina kadhaa za wasemaji wa mpira.
1. Wasemaji viherere.
2.Wasemaji wapiga domo
3.Wasemaji waongo
4.Wasemaji vichekesho
5.Wasemaji waimba taarabu
6.Wasemaji wasomi wenye busara

Ndugu yangu Karia si mbaya kumshukuru Mungu na kukuomba kwa dhati kama ikimpendeza Allah Swabahana tukamwekea walau ka sanamu kijana wetu ndugu yetu Ali Kamwe msemaji wa Dar Young African.

Kiujumla amekuwa msemaji wa busara hakurupuki hana shobo na viherehere na vyombo vya habari.

Sio mpiga domo kama ndugu yetu wa jirani pale msimbazi. Sio mwongo kama ndugu yetu wa msimbazi.

Imagine anaulizwa mmesajili bila kocha bila aibu ati kocha akiwa South Africa ndie alikuwa akichagua nani aje aise.

Matumaini yetu ombi letu wana Yanga litafanyiwa kazi mashallah kuona kijana akibaki kwenye kumbu kumbu ya wasemaji boraa Africa.

Nawasilisha
 
Wewe upo sawa kweli? Kamwe anavyotukanaga watu waliomzidi umri unataka ajengewe sanamu la matusi au? Punguza mapenzi mzee. Katika wasemaji wanaolipwa mishahara yao kiuhalali Msemaji wa Simba analipwa kiuhalali kabisa
 
Wewe upo sawa kweli?
Nilishawatahadharisha mapema kwamba huyu Pdidy hayupo sawa kichwani. Wale wakongwe tunamjua tangu enzi hizo za 2010s, alikuwa ni taxi driver pale nje ya airport. Tulikuwa tunamsahihisha sana spelling za maandishi, ila sasa tatizo limeongezeka, sio spelling tu, na hata maudhui

1720679325761.png
 
Kwako Rais wa TFF,

Shikamoo popote ulipo.

Nichukue muda wangu nisikuchoshe sana, hapa nchini kumekuwa na aina kadhaa za wasemaji wa mpira.
1. Wasemaji viherere.
2.Wasemaji wapiga domo
3.Wasemaji waongo
4.Wasemaji vichekesho
5.Wasemaji waimba taarabu
6.Wasemaji wasomi wenye busara

Ndugu yangu Karia si mbaya kumshukuru Mungu na kukuomba kwa dhati kama ikimpendeza Allah Swabahana tukamwekea walau ka sanamu kijana wetu ndugu yetu Ali Kamwe msemaji wa Dar Young African.

Kiujumla amekuwa msemaji wa busara hakurupuki hana shobo na viherehere na vyombo vya habari.

Sio mpiga domo kama ndugu yetu wa jirani pale msimbazi. Sio mwongo kama ndugu yetu wa msimbazi.

Imagine anaulizwa mmesajili bila kocha bila aibu ati kocha akiwa South Africa ndie alikuwa akichagua nani aje aise.

Matumaini yetu ombi letu wana Yanga litafanyiwa kazi mashallah kuona kijana akibaki kwenye kumbu kumbu ya wasemaji boraa Africa.

Nawasilisha
Huyu hapa?. Masihara hayo
 

Attachments

  • FB_IMG_1715694322584.jpg
    FB_IMG_1715694322584.jpg
    21.9 KB · Views: 3
Back
Top Bottom