Rais Kenyatta apandisha mshahara wa watumishi kwa 12% kuanzia Mei 2022

Rais Kenyatta apandisha mshahara wa watumishi kwa 12% kuanzia Mei 2022

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ametangaza ongezeko la mshahara kwa asilimia 12 kuanzia Mei 2022.

Rais Kenyatta ametoa tamko hilo katika hotuba yake Siku ya Mei Mosi kwenye Uwanja wa Nyayo Jijini Nairobi, ambapo lengo la maamuzi hayo ni kutokana na kukua kwa gharama za maisha

Kiwango cha chini cha mshahara kilikuwa Ksh. 13,500 tangu mwaka 2018.

“Mambo yamekuwa magumu sio tu kwa nchi yetu…Mamilioni ya watu dunia mzima wamepoteza maisha yao na mamilioni wengine zaidi kupoteza kazi zao,” Uhuru.


Source: Citizen Digital
 
Kwa hiyo kawatoa 270,000/- kwenda 300,000/- ndo wanashangilia.....kumbe Kenya ni maskini tuu...
Utopolo mtupu,
 
Kwa hiyo kawatoa 270,000/- kwenda 300,000/- ndo wanashangilia.....kumbe Kenya ni maskini tuu...
Utopolo mtupu,
Kwani vijakazi wa nyumba nchini Tz huwa wanalipwa shilingi ngapi? Hiyo 13,500 ni mshahara wa vijakazi wa nyumba na ndio muongozo rasmi wa serikali, kuhusu mshahara wao. Wao ndio huwa wanalipwa mshahara mdogo zaidi nchini Kenya . Zamani walikuwa wanadhulumiwa sana, kisa eti waajiri wao huwa wanawapa makazi na vyakula.
 
Asilimia 12,bonge la ongezeko
 
Kwani vijakazi wa nyumba nchini Tz huwa wanalipwa shilingi ngapi? Hiyo 13,500 ni mshahara wa vijakazi wa nyumba na ndio muongozo rasmi wa serikali, kuhusu mshahara wao. Wao ndio huwa wanalipwa mshahara mdogo zaidi nchini Kenya . Zamani walikuwa wanadhulumiwa sana, kisa eti waajiri wao huwa wanawapa makazi na vyakula.

Kwao huko akina dada wengi wa kazi hata kufikishiwa laki moja ya Tanzania huwa kwa mbinde.
 
Kwa hiyo kawatoa 270,000/- kwenda 300,000/- ndo wanashangilia.....kumbe Kenya ni maskini tuu...
Utopolo mtupu,
Unajua maana ya neno "minimum wage"., yaani wale vijakazi wa chini sana pesa yao ilikua ina anzia hiyo 270,000., sasa itakua 300,000., hii Tanzania kwa mtu wa chini ni jackpot.
 
Kwani vijakazi wa nyumba nchini Tz huwa wanalipwa shilingi ngapi? Hiyo 13,500 ni mshahara wa vijakazi wa nyumba na ndio muongozo rasmi wa serikali, kuhusu mshahara wao. Wao ndio huwa wanalipwa mshahara mdogo zaidi nchini Kenya . Zamani walikuwa wanadhulumiwa sana, kisa eti waajiri wao huwa wanawapa makazi na vyakula.
Uongo bro, kijakazi Kenya anachezea 3000 - 5000 shillings per month. For you to pay 13000 to a domestic worker per month lazima you earn more than 150k pm na na nyumba Yako sio ya kukodisha.
 
Uongo bro, kijakazi Kenya anachezea 3000 - 5000 shillings per month. For you to pay 13000 to a domestic worker per month lazima you earn more than 150k pm na na nyumba Yako sio ya kukodisha.
 
Hiyo ilikuwa ni January 2019.
Swali kuu hapa ni nani atakakaeongeza mshahara wa mfanyakazi wake kama yeye mwenyewe hajaongezewa na serikali inayotoa mamlaka hayo? When was the last time wafanyakazi wa serekali waliongezewa mshahara or are domestic workers employed by the govt? Vitu vingine vipo kwa makaratasi tu kuwafurahisha kina wewe!
 
Swali kuu hapa ni nani atakakaeongeza mshahara wa mfanyakazi wake kama yeye mwenyewe hajaongezewa na serikali inayotoa mamlaka hayo? When was the last time wafanyakazi wa serekali waliongezewa mshahara or are domestic workers employed by the govt? Vitu vingine vipo kwa makaratasi tu kuwafurahisha kina wewe!
It is what it is.
 
Back
Top Bottom